KisiwaChaJagwani Member Joined Jun 8, 2016 Posts 13 Reaction score 23 Feb 27, 2025 #1 Ndugu zangu leo napenda kujua mambo gani ya msingi kipindi unapokosa kazi ni kipi cha kufanya kukabiliana na hali hii kwani mimi ni muanga wa kukosa kazi hivyo napenda kujua nini cha kufnya kipindi bado natafuta ujira mwingine.
Ndugu zangu leo napenda kujua mambo gani ya msingi kipindi unapokosa kazi ni kipi cha kufanya kukabiliana na hali hii kwani mimi ni muanga wa kukosa kazi hivyo napenda kujua nini cha kufnya kipindi bado natafuta ujira mwingine.
Red black JF-Expert Member Joined Nov 29, 2019 Posts 5,962 Reaction score 17,648 Feb 27, 2025 #2 kutumia ile akiba uliyokuwa nayo wisely
KisiwaChaJagwani Member Joined Jun 8, 2016 Posts 13 Reaction score 23 Feb 27, 2025 Thread starter #3 Red black said: kutumia ile akiba uliyokuwa nayo wisely Click to expand... Asante kwa ushauri