Mambo haya hatari

Mambo haya hatari

Dah hii kitu sikuiona wallah leo usiku lazima niiote hii duh uhondo mtupu.
 
duh si muchezo,ila kitu sio natural ni lazima kuna mkono wa mchina hapo
 
inaonyesha ni laukweli si lakichina au macho yangu ndo yakichina
 
Weekend njema.
2q32hvl.jpg

DUH!
HILI LINAWEZA KUWA NA UKWELI, MARA NYINGI YA KICHINA YANAIPUA MWILI MZIMA,DEMU ANAKUWA KM KINU...
EBU ONA HILI HAPA LIBONGO LILILOKULA ZA KICHINA
 
Du! si mchezo mwanangu hapo ukiambiwa utoe benzi funguo anachukua kwa ukaiiini,mzee lyumba hakumwona huyo? usafiri huo hata kazini utakuwa huendi,ajbu mwenyewe huenda anchapa nje tena kwa videmu uchwara tu Ha ha ha ha!
 
Hawa ndio huwachokoza watu wakafikiria kusafiri na kwenda hadi Sodoma!!
 
khaaa!!!, wakubwa wanafaidi mengi -oo-oo-ooh, naomba kazi ya ndani kwa huyu dada!!
 
Mwee!haya mambo mengine mtatuharibia ulokole wetu,wapendwa hizo picha za kuchora tu msiingie mkenge halafu siri ya haya mambo Mola ana hekima kuliko wote hampi mtu kila kitu,akiwa na shepu kama hiyo unaweza kuta engine hamna kitu moshi mweusi au bluuu au compression hamna.Wakati mwingine usibabaike na jezi nzuri huwa hamna kitu humo wakiingia uwanjani wanaanguka tu hata danadana kumi hapigi haha!haha!hahaaaa!
 
poa mkuu wape ndio zao wamezowea ends to god
Conquest
 
Ukubwa wa makalio unahusiana na kiwango cha wadudu wa HIV...wamejaa kibao kwenye hayo makalio...so watch out

mbona hakuna anayeogopa hao wadudu wa HIV siku hizi..kitu kama hii mi natwanga kavu kavu hata nikifa najua nimekula kitu roho inataka
 
Back
Top Bottom