Mwee!haya mambo mengine mtatuharibia ulokole wetu,wapendwa hizo picha za kuchora tu msiingie mkenge halafu siri ya haya mambo Mola ana hekima kuliko wote hampi mtu kila kitu,akiwa na shepu kama hiyo unaweza kuta engine hamna kitu moshi mweusi au bluuu au compression hamna.Wakati mwingine usibabaike na jezi nzuri huwa hamna kitu humo wakiingia uwanjani wanaanguka tu hata danadana kumi hapigi haha!haha!hahaaaa!