October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Moja ya sehemu ambayo utawapata watu siriasi Tanzania ni hapa jamii forums, lakini kwa sasa jukwaa limekuwa na watu wa ajabu ajabu ambao wanauwa jukwaa zima na kufukuza watu wenye tija kabisa na vitu vyenye tija, moja ya vitu vinavyolipelekea jukwaa hili kufa ni kama:-
a) Kuwasakama watu wenye tija kwenye jukwaa, kama uwanja wa ujasiriamali tunahitaji manguri wa huu uwanja lakini, kinachoshuhudiwa watu wenyewe wanapigwa vita mpaka wanalikimbia jukwaa, mfano usioweza kuukimbia ni ONTARIO.
ONTARIO, jamaa kimsingi alikuwa na pande kuu tatu
· Mada za ujasiriamali wa kweli zilizo wavutia wengi, binafsi nimekuwa mfuasi wa jukwaa hili kwaajiri ya stori zake za ujasiriamali na mafanikio, kiukweli zile stori siwezi jua nitazipata wapi tena.
· Stori za kawaida za maisha kama zile za south, technology na intelligensia.
· Network market.
Kimsingi watu wasioona umuhimu wake kwenye mada za ujasiriamali wamemsakama kwenye kipengere cha network market mpaka sisi wengine tumekosa faida zote tatu, nakumbuka kuna jamaa alikuwa maarufu kumshusha kwenye mada zake, lakini baada ya kuondoka jamaa hakuna anachoposti zaidi ya ujinga ujinga tu mpaka kapotea kabisa.
Usishangae siku ukaenda kwenye jukwaa la intelligence ukakuta THE BOLD anaogeshwa maneno
b) Kuwa clash watu wanaoleta mada zenye tija na ku-inpire, yaani mtu analeta mada kwa faida yako, hata umripi lakini izo comment anazopokea, mfano kuna mtu anaitwa CHASHA FARM uyu mtu analetaga vitu vya msingi ila anakoma kwenye replies za watu.
c) Kujengeka kwa kauri za ajabu kama “UKIONA UNAITWA KWENYE FURSA JUWA WEWE NDIO FURSA YENYEWE”, hakuna msemo ninaouchukia kama huwo na sitegemei mtu timamu ataongea msemo kama huwo, ukiitwa kwenye fursa ichambue fursa umepewa akili, ila kwa kuwa na akili za kizembe kama uwo msemo, hutabadilika kamwe.
d) Mtu akitoa hoja, kuanza kuchunguza post zake za zamani
Kama unakauri kama hizo ni muda kubadilika sasa humu jf hakuna anayekejua wala kumjua, pambania binafsi yako sio kufuata mkumbo, binafsi jf imenipa fursa kubwa ambayo sitokuja kujutia kuitumia jf maisha yote (uwekezaji), ila ukiletewa wewe fursa kama hiyo utafuata mkumbo wa maneno ya watu "ukiitwa wenye fursa jua wewe ndio fursa", kimsingi neno fursa limebadilishwa na kuwa aina furani ya dhambi.
FRASH BACK
Hapo nyuma kidogo mdau anaitwa CHASHA FARM, alianzisha mada kuhusu wachina kuungana, na mimi nikaona ndio muda sahihi nikaandika kuhusu kuungana hakukuwa na response yoyote ya watu na kuna mdau akaandika UKIONA UNAITWA KWENYE FURSA JUA WEWE NDIO FURSA MWENYEWE, tokea hapo nimejua kwa Tanzania kuwa mbinafsi huwenda ikawa neema kwa mungu na mungu akakupa swawabu pia.
mpaka mtu umpate msoto ndio ajue vitu vya msingi time will tell kila mtu kwa upande wak, itapoteli haiteli kwa jf bali kwako pekeyako hutomuona mwana jf muda huwo.
jifunze kutumia privacy ya jf kupata fursa, vitu vyenye tija kwa maisha yako sio kufuata mkumbo na kumuonea mtu aibu, hakujui mtu anayekujua humu.
a) Kuwasakama watu wenye tija kwenye jukwaa, kama uwanja wa ujasiriamali tunahitaji manguri wa huu uwanja lakini, kinachoshuhudiwa watu wenyewe wanapigwa vita mpaka wanalikimbia jukwaa, mfano usioweza kuukimbia ni ONTARIO.
ONTARIO, jamaa kimsingi alikuwa na pande kuu tatu
· Mada za ujasiriamali wa kweli zilizo wavutia wengi, binafsi nimekuwa mfuasi wa jukwaa hili kwaajiri ya stori zake za ujasiriamali na mafanikio, kiukweli zile stori siwezi jua nitazipata wapi tena.
· Stori za kawaida za maisha kama zile za south, technology na intelligensia.
· Network market.
Kimsingi watu wasioona umuhimu wake kwenye mada za ujasiriamali wamemsakama kwenye kipengere cha network market mpaka sisi wengine tumekosa faida zote tatu, nakumbuka kuna jamaa alikuwa maarufu kumshusha kwenye mada zake, lakini baada ya kuondoka jamaa hakuna anachoposti zaidi ya ujinga ujinga tu mpaka kapotea kabisa.
Usishangae siku ukaenda kwenye jukwaa la intelligence ukakuta THE BOLD anaogeshwa maneno
b) Kuwa clash watu wanaoleta mada zenye tija na ku-inpire, yaani mtu analeta mada kwa faida yako, hata umripi lakini izo comment anazopokea, mfano kuna mtu anaitwa CHASHA FARM uyu mtu analetaga vitu vya msingi ila anakoma kwenye replies za watu.
c) Kujengeka kwa kauri za ajabu kama “UKIONA UNAITWA KWENYE FURSA JUWA WEWE NDIO FURSA YENYEWE”, hakuna msemo ninaouchukia kama huwo na sitegemei mtu timamu ataongea msemo kama huwo, ukiitwa kwenye fursa ichambue fursa umepewa akili, ila kwa kuwa na akili za kizembe kama uwo msemo, hutabadilika kamwe.
d) Mtu akitoa hoja, kuanza kuchunguza post zake za zamani
Kama unakauri kama hizo ni muda kubadilika sasa humu jf hakuna anayekejua wala kumjua, pambania binafsi yako sio kufuata mkumbo, binafsi jf imenipa fursa kubwa ambayo sitokuja kujutia kuitumia jf maisha yote (uwekezaji), ila ukiletewa wewe fursa kama hiyo utafuata mkumbo wa maneno ya watu "ukiitwa wenye fursa jua wewe ndio fursa", kimsingi neno fursa limebadilishwa na kuwa aina furani ya dhambi.
FRASH BACK
Hapo nyuma kidogo mdau anaitwa CHASHA FARM, alianzisha mada kuhusu wachina kuungana, na mimi nikaona ndio muda sahihi nikaandika kuhusu kuungana hakukuwa na response yoyote ya watu na kuna mdau akaandika UKIONA UNAITWA KWENYE FURSA JUA WEWE NDIO FURSA MWENYEWE, tokea hapo nimejua kwa Tanzania kuwa mbinafsi huwenda ikawa neema kwa mungu na mungu akakupa swawabu pia.
mpaka mtu umpate msoto ndio ajue vitu vya msingi time will tell kila mtu kwa upande wak, itapoteli haiteli kwa jf bali kwako pekeyako hutomuona mwana jf muda huwo.
jifunze kutumia privacy ya jf kupata fursa, vitu vyenye tija kwa maisha yako sio kufuata mkumbo na kumuonea mtu aibu, hakujui mtu anayekujua humu.