Mambo haya yanavunja moyo walipakodi nchini kwetu

Mambo haya yanavunja moyo walipakodi nchini kwetu

Nilimshangaa huyu mama, kasimama mbele ya wasanii. Anawaambia tuliwakopesha hamrudishi ila nitawakopesha tena!!! Halafu watoto wanakaa nje na wanaandikia chini 😢 Wasanii wanakopeshwa milioni 40, kila mmoja!
 
Back
Top Bottom