MwananchiOG JF-Expert Member Joined Apr 4, 2023 Posts 1,970 Reaction score 4,037 Jul 11, 2024 #21 Dr hyperkid said: Pesa ya dawati itaparikana na wema kwenda Korea atakwenda vilevile shida Iko wapi ndugu Click to expand... Mbona haijapatikana mpaka sasa bado wameketi chini? Hauoni shida? Na si hapo tu. Sehemu nyingi kuna changamoto za aina hii.
Dr hyperkid said: Pesa ya dawati itaparikana na wema kwenda Korea atakwenda vilevile shida Iko wapi ndugu Click to expand... Mbona haijapatikana mpaka sasa bado wameketi chini? Hauoni shida? Na si hapo tu. Sehemu nyingi kuna changamoto za aina hii.
Bantu Lady JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 8,900 Reaction score 28,398 Jul 11, 2024 #22 Nilimshangaa huyu mama, kasimama mbele ya wasanii. Anawaambia tuliwakopesha hamrudishi ila nitawakopesha tena!!! Halafu watoto wanakaa nje na wanaandikia chini 😢 Wasanii wanakopeshwa milioni 40, kila mmoja!
Nilimshangaa huyu mama, kasimama mbele ya wasanii. Anawaambia tuliwakopesha hamrudishi ila nitawakopesha tena!!! Halafu watoto wanakaa nje na wanaandikia chini 😢 Wasanii wanakopeshwa milioni 40, kila mmoja!
B bongodili tele JF-Expert Member Joined Jun 8, 2024 Posts 1,520 Reaction score 3,022 Jul 11, 2024 #23 Halafu pana mabango yasiyo maana nchi nzima yanatafuna Kodi zetu
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Jul 11, 2024 #24 Bangida said: MBona kama mwamba mwenyewe amevaa tisheti ya chama? Click to expand... Jezi ya Yanga hiyo.
Bangida said: MBona kama mwamba mwenyewe amevaa tisheti ya chama? Click to expand... Jezi ya Yanga hiyo.
The Lost Boy JF-Expert Member Joined Nov 24, 2020 Posts 248 Reaction score 311 Jul 11, 2024 #25 Inaumiza hisia
Kategele JF-Expert Member Joined Oct 7, 2017 Posts 1,055 Reaction score 2,466 Jul 11, 2024 #26 Ziara ya CCM hiyo ilipotembelea Mvinza kijijini huko Kasulu Kigoma ndanindani huko wamejaa wasukuma porini. imhotep said: Jezi ya Yanga hiyo. Click to expand...
Ziara ya CCM hiyo ilipotembelea Mvinza kijijini huko Kasulu Kigoma ndanindani huko wamejaa wasukuma porini. imhotep said: Jezi ya Yanga hiyo. Click to expand...