Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

Katika vitu nilikuwa siviwezi mashuleni ni hizo hadithi sijawai kusoma hata moja secondary hapa nimesoma hadi alipokutana na wa missionary nikasikia kichefu chefu ...kwa nini wasiweke hadithi kama za abunuasi mashuleni badala ya huu upumbavu wa Nigeria na mavitabu mengine ya kijinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…