Mambo kadhaa usiyoyajua kuhusu Adolf Hilter

Mambo kadhaa usiyoyajua kuhusu Adolf Hilter

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
Nani ambaye hamjui Dikteta Adolf Hitler? Adolf Hitler ni mtawala maarufu zaidi katika karne ya ishirini, kiongozi wa chama cha Kinazi aliyeitawala ujeruman kati ya mwaka 1934 mpaka 1945. Kama ulikuwa hujui, hitler ndiye mwanzilishi mkuu wa vita ya pili ya dunia.

Yafuatayo ni mambo usiyoyajua kuhusu Adolf Hitler.

Alipendelea zaidi kuangalia Filamu za mauaji, wafuasi wake walipenda kurekodi video pale walipokuwa wanawauwa wafungwa na kumpelekea Hitler!

Adolf Hitler Ndiye aliyeanzisha sheria ya kutovuta sigara hadharani. Alikuwa mvuta sigara enzi za ujana wake na alikuja kuacha baadae akidai ni utumiaji mbaya wa fedha.

Licha ya kufurahia Kuua sana binadamu, adolf alipinga sana ukatili wa wanyama, na alikuwa hali nyama ya aina yeyote ile.

Hitler aliokolewa kufa maji na mfanyakazi wa kanisa alipokuwa na umri wa miaka minne (4), na kwa kipindi hicho, hitler ilipenda saana awe mfanyakazi wa kanisa akiwa mkubwa.

Mpenzi wa kwanza wa Hitler alikuwa myahudi na aliona aibu kumueleza hisia zake. Baadae aligeuka na kuamua kuua kila myahudi aliyekuwepo ujerumani, kasoro daktari mmoja ambaye alisaidia bure familia ya hitler kuwatibu kutokana na ugumu wa maisha kipindi adolf akiwa mdogo.

Akiwa jela, Hitler aliwahi kuandika barua kwenda kampuni ya mercedes benz akiomba mkopo wa gari.

Alishawahi kushindania tuzo ya nobel mwaka 1939.

Hakupenda aina yoyote ya michezo licha ya kupenda kutolea mifano ya kabumbu katika hotuba zake.

Adolf Hitler alikuwa na baadhi ya tabia za kike akiwa na umri mdogo, alikuwa pia na mwandiko wa kike. Vilevile hitler alipenda sana chokoleti kulliko vyakula vingine


ahpg18opener.jpg
 
Hivi huwa mnajuaje Kama Hatujui?!...Mpaka Muanze Kusema "Usiyoyajua......."!!
 
[QUOTE="

Mpenzi wa kwanza wa Hitler alikuwa myahudi na aliona aibu kumueleza hisia zake. Baadae aligeuka na kuamua kuua kila myahudi aliyekuwepo ujerumani, kasoro daktari mmoja ambaye alisaidia bure familia ya hitler kuwatibu kutokana na ugumu wa maisha kipindi adolf akiwa mdogo.

[/QUOTE]


HII IKO SHALLOW SANA NA HAINA UKWELI WOWOTE,
FINAL SOLUTION NDO MZIZI MKUU WA UTAWALA WA HITLER KUWAUA WAYAHUDI

leftist_hitler_meme_feature.jpg

quote-the-struggle-for-world-domination-is-between-me-and-the-jews-all-else-is-meaningless-adolf-hitler-61-30-39.jpg
Hitler-04.jpg

HII YA MWISHO NDO INAKUJA KUWA PROVED SASA HIVI NA WATU WANAOJIITA NEO CONSERVATIVE NA AKILIYAO MBAYA YA WORLD DOMINATION
GROUP HILI NI LAKINA SOROS, RUMSFELD,WOLFWITZ, ELDOMEN HAWA WATU WAMEKUWA WANAVAMIA SEHEMU ZENYEMAFUTA NA KUSABABISHA GLOBAL WAR KILA SIKU NA WOTE HAWA WAZAZI WAWO WALIKIMBIA TOKA GERMAN NA EASTERN EUROPE NA WOTE NI JEWS
1734883_hitler_jpegb02208f779f0f7c4ec6d43043fb590f2
 
Huyo jamaa aliipa dunia funzo kubwa sana.
Na huenda wakati anatoa hilo funzo moyoni mwake alikuwa anasema sitaki dunia ije inisahahu. na kweli imekuwa hivyo.
 
[QUOTE="

Mpenzi wa kwanza wa Hitler alikuwa myahudi na aliona aibu kumueleza hisia zake. Baadae aligeuka na kuamua kuua kila myahudi aliyekuwepo ujerumani, kasoro daktari mmoja ambaye alisaidia bure familia ya hitler kuwatibu kutokana na ugumu wa maisha kipindi adolf akiwa mdogo.


HII IKO SHALLOW SANA NA HAINA UKWELI WOWOTE,
FINAL SOLUTION NDO MZIZI MKUU WA UTAWALA WA HITLER KUWAUA WAYAHUDI

leftist_hitler_meme_feature.jpg

quote-the-struggle-for-world-domination-is-between-me-and-the-jews-all-else-is-meaningless-adolf-hitler-61-30-39.jpg
Hitler-04.jpg

HII YA MWISHO NDO INAKUJA KUWA PROVED SASA HIVI NA WATU WANAOJIITA NEO CONSERVATIVE NA AKILIYAO MBAYA YA WORLD DOMINATION
GROUP HILI NI LAKINA SOROS, RUMSFELD,WOLFWITZ, ELDOMEN HAWA WATU WAMEKUWA WANAVAMIA SEHEMU ZENYEMAFUTA NA KUSABABISHA GLOBAL WAR KILA SIKU NA WOTE HAWA WAZAZI WAWO WALIKIMBIA TOKA GERMAN NA EASTERN EUROPE NA WOTE NI JEWS
1734883_hitler_jpegb02208f779f0f7c4ec6d43043fb590f2
[/QUOTE]Huyu Mnazi kumbe alikuwa anajua madhara ya jews.....na ili kututhibitishia akatuachia 10% yao ili tujue kwann aliamua kuwaua jews....very interesting
 
Back
Top Bottom