Mambo kadhaa ya kufurahisha kuhusu the late Steve Jobs

Mambo kadhaa ya kufurahisha kuhusu the late Steve Jobs

Hii dark side yake inakua muted ila hakua na social capital kabisa.
Yeye na Wozniak walikuwa washikaji ila baada ya kampuni kukua, akawa ana mtreat like a piece of trash wala hana time naye. Ndiyo maana Wozniak aliondoka.
 
Msipende kunizungumzia zungumzia mambo yangu, huwa sipendi.
Halafu kuhusu kurudishwa kazini na hao walio nifukuza si kweli. Hawakunirudisha kazini, waliponifukuza nilirudi kitaa nikasurubika sana baadaye nikaanzisha kampuni nyingine iliyotengeneza faida zaidi halafu nikaenda kuinunu apple sababu apple was my thing
tuhuma za wewe kuwa shoga zina ukweli?
 
Back
Top Bottom