Mambo kuhusu minaki high school

Mambo kuhusu minaki high school

Van dixon

Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
15
Reaction score
0
Wenyenchi vp kuhusu ratiba ya msosi minaki?vp bori linachezeka au?vp kwa Pcm ushirikiano upo au mizinguo,naskia maji tatzo vp kuhusu vyoo?
 
We unawaza misoc 2?pcm wa pale huwa wanaliwa vichwa balaa.
 
Mimi nimesoma hapo Minaki. Walimu wapo wa kutosha. Miundombinu kama madarasa,mabweni,kumbi etc inatosha. Maji yapo although yana fungus. Mazingira ni conducive ktk kusoma. No red tapes in administration compared to the previous time. Shule ipo wilaya Kisarawe mkoa wa Pwani. Mafenesi,nazi,madafu,mihogo etc, vinapatikana kwa wingi. Chakula cha hapo shuleni ni cha kuridhisha. Ni PM nikupe maelezo zaidi otherwise nakutakia masomo mema.
 
Nishaku PM bro
Mimi nimesoma hapo Minaki. Walimu wapo wa kutosha. Miundombinu kama madarasa,mabweni,kumbi etc inatosha. Maji yapo although yana fungus. Mazingira ni conducive ktk kusoma. No red tapes in administration compared to the previous time. Shule ipo wilaya Kisarawe mkoa wa Pwani. Mafenesi,nazi,madafu,mihogo etc, vinapatikana kwa wingi. Chakula cha hapo shuleni ni cha kuridhisha. Ni PM nikupe maelezo zaidi otherwise nakutakia masomo mema.
 
Back
Top Bottom