Mambo kumi unayotakiwa uyafanye katika maisha yako ya kila siku

Mambo kumi unayotakiwa uyafanye katika maisha yako ya kila siku

Kuhusu wakati wa kuoga maji kuanzia miguuni ni endapo hayo maji ni baridi sana,lkn sio baridi sana hakuna shida
Hata yakiwa ya moto mkuu hayafai kuanzia kichwani.
 
Maagano Mzee.

1. Sitapungukiwa Na kitu
2. Nitalala kwenye malisho ya majani mabichi (huku sio Mashenzini ujue) niyaongozwa kwenye majinya utulivu (huku ni ufukweni, naishi Bahari Beach)
3. Natenda haki
4. Siogopi kitu
5. Watesi wangu wanateswa Mimi nikiendelea kishamiri
6. Hakika wema Na fadhili zinanifuata siku zote za maisha yangu nami nimelishika agano hili milele
Kwani wewe ni Daudi mwana wa Yese? 🙄🙄
 
Kuanza kuoga kuanzia kichwani unasababisha mzunguko wa damu kuwa mkubwa maeneo ya kichwani na inaweza kusababisha kupasuka kwa mishipa ya damu.
Sababu nzuri kabisa,ndio nauliza kwanini iwe maji ya moto na baridi?
 
chukua hio itakusaidia.
Screenshot_20231129-112104~2.jpg
 
Ushauri mzuri sana, ila ulivyoandika uzi ni kama vile hayo mambo ni lazima [must]....

Wakati nasubiria Tractor inavyorekebishwa hapa shamba, Nisaidie Mkuu hiyo point no.2, Ni maji yeyote tu, Haijalishi Yamoto au ya baridi?
 
Sababu nzuri kabisa,ndio nauliza kwanini iwe maji ya moto na baridi?
Ni kwasababu una ongeza pressure kwenye eneo la kichwa kumbuka ni kitu cha ghafla na haraka kwasababu unaongeza tension kwenye kichwa more blood will be pumped to the brain ila ukianza chini una increase tension towards the feet area.
 
Ni kwasababu una ongeza pressure kwenye eneo la kichwa kumbuka ni kitu cha ghafla na haraka kwasababu unaongeza tension kwenye kichwa more blood will be pumped to the brain ila ukianza chini una increase tension towards the feet area.
Nilikuuliza makusudi je maji moto au baridi? Lengo ni kuelimishana

Hapa inazungumzwa maji baridi sana kwasababu,maji baridi sana yatashusha joto kichwani kwa haraka,hapo itabidi damu ije kichwani fasta kuweka joto katika hali ya kawaida pamoja na kuhakikisha oksijeni inapatikana

Asante
 
Nilikuuliza makusudi je maji moto au baridi? Lengo ni kuelimishana

Hapa inazungumzwa maji baridi sana kwasababu,maji baridi sana yatashusha joto kichwani kwa haraka,hapo itabidi damu ije kichwani fasta kuweka joto katika hali ya kawaida pamoja na kuhakikisha oksijeni inapatikana

Asante
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom