Mambo kumi unayotakiwa uyafanye katika maisha yako ya kila siku

Wadau naomba mnifahamishe kuhusu hii changamoto. Kuna kipindi wakati niko mbeya kutokana na hali ya baridi au hata ukioga maji ya baridi sana kuanzia kichwani. Nilikuwa nahisi kichwa kinauma ni kama vile cranial bones zinajivuta kwa ndani.
 
Wadau naomba mnifahamishe kuhusu hii changamoto. Kuna kipindi wakati niko mbeya kutokana na hali ya baridi au hata ukioga maji ya baridi sana kuanzia kichwani. Nilikuwa nahisi kichwa kinauma ni kama vile cranial bones zinajivuta kwa ndani.
Soma vizuri comment mkuu imeelezea vizuri na baadhi ya wadau wengi hapo juu.
 
Ushauri ninaoukazia pia, kufanya mazoezi hasa kwa jinsia ME ni compulsory wala hata sio ombi. Mazoezi mazuri ni kukimbia au yanayohusisha kukimbia.
 
Soma vizuri comment mkuu imeelezea vizuri na baadhi ya wadau wengi hapo juu.
Nilishasoma tayari ila nilihisi kuwa changamoto ni nyingine tofauti na hiyo. Ila nimepata kutambua uhusiano.
 
Safi sana.
Usisahau na hili:
....ukiamka tu tumia sekunde 7 kujikumbusha siku moja utakufa na hutarudi tena!
Itakusaidia kuishi bila hofu, kiasi, stressfree, mahangaiko, dhulma, fitina, hujuma, uovu uliopitiliza, tamaa ovu na visasi.
[kuna kabila linafundisha watoto tangu tumboni kuwa pesa ndo kila kitu, na jingine linafundisha utajiri ni watu..'mali bantu'!
Tunapokutana huku juu tunasumbuana sana ni kama shetan na malaika wamekutanishwa zizi moja]
 
Miafrika punda kila moja imekuwa daktari! Uongo tu!
 
Miafrika punda kila moja imekuwa daktari! Uongo tu!
Nyinyi ndio wale mnao amini Corona na HIV umetoka kwa mungu kwasababu hamtaki kujaribu kuujua ukweli mkuu hayo ni maoni yangu tu siku nyingine mtu akikuambia kitu kama uanona ni cha uongo kabla hujamjibu nenda Google kwanza au huko kwenye AI ili usijiabishe .
 
Ni kweli mkuu nothing should owns you and you own nothing live your life to the fullest.
 
Hivi limao na ndimu sio acid?
 
Uko sahihi Mkuu ila namba 9 ni muhimu sana kwenye vitabu kuna kila kitu vinafungua ufahamu sana alafu vina majibu mengi ya kila tatizo tunalokutana nalo kwenye maisha, kingine watu wasiogope kusoma vitabu maana hakuna kanuni ya kusoma vitabu uanze mwanzo mpaka mwisho hapana, unaweza fungua kwenye topic unayotaka alafu sentensi moja tu kwenye kitabu inaweza kuwa na maana kubwa sana ikabadilisha maisha na kukupa mwanga mpya wa maisha pasipo kusoma kitabu chote na ndo dhumuni la mwandishi unaposoma kitabu usitoke mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…