Mambo kumi yaliyotikisa kesi ya Jamhuri v Mbowe haya hapa

WS ameona akijidai kwenda na sheria kwenye hiyo issue ataumbuka, akaona bora aite mizimu ya kwao apandishe mashetani labda kina Kibatala watamuogopa, lakini wapi, kama anajidai anaelewa yeye kikwao, bado jamaa wanataka majibu ya kisheria mbele ya safari.
 
Kesi ya Mbowe imeletwa na Mungu kwa Makusudi ili KUUMBUA MAHAKAMA , POLISI NA SERIKALI YA TANZANIA ili kuliponya Taifa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kama matokeo ya kesi hii hayatatusaidia kurekebisha uozo huu, basi hatuna tena cha kutegemea kwamba kitawafanya waTanzania waone mapungufu makubwa ndani ya nchi yao.
 
Hapa no pale unapotumika weledi wa kitanzania
 
Tunashuhudia aibu ya Karne kwa huu muhimili.
 
Hi
Hii kesi itabaki kwenye historia zaidi ya miaka 1000 mbele.
 
same same Jiwe
 
Mtu mwenyewe ni gaidiii ataachwaje kuhukumiwa kama walivyohukumiwa akina sabaya?? Wasipotenda haki kwa gaidi, hatuwaelewiii

Ukitaka kujua ccm kumejaa vilaza ndio kwenye mambo kama haya. Kesi ya Mbowe haina ufanano wowote na kesi ya Sabaya, na hata mwenye wa ushahidi unaiacha serikali, mahakama na vyombo vya dola kwenye mahusiano yasiyo ya uadilifu. Lakini kilaza kama huyu anakwambia lazima Mbowe afungwe kama Sabaya!🙆
 
Bola hata ya sabaya kuliko ya gaidiii
 

Jaji ameshapoteza utulivu mpaka sasa maana anaitia mahakama aibu kwa kukubali kufuata maagizo ya kihuni ya serikali. Nashangaa jaji anamrudishia shahidi wa jamuhuri simu kwa kisingizo cha privacy, lakini police huwa wanachukua simu za watu na hawawarudishii mpaka mivutano ianze.
 
Mkuu unamjibuje mtu kama huyo?
 
Mt
Pambanane huko mahakamani nyie si mnalipwa au mmekuja kutafuta huruma huko .eti Shujaa labada Shujaa wa ukoo wenu
Mtu adanganye amepima utomvu was papai akakuta virus vya corona ndio utamwona shujaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…