ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Una mzaha sana Geita kulikuwa na maghorofa kadhaa ukianza na Posta, NMB bank, Alfpha Hotel, Halimashauri, Infotech plaza, Jimboni Catholic too many to mentionGeita hakuna kiwanja chenye hadhi.....na mji ulikuwa hauna ghorofa la maana toka uhuru..ni juzi tu ndugu yangu mjaruo bwana otonde kawatoa kimasomaso kwa kuwajengea otonde plaza[emoji16][emoji16]...kama nasema uongo kataa