Mambo makuu sita yanayonifanya kuichagua bar kuwa yakudumu

Mambo makuu sita yanayonifanya kuichagua bar kuwa yakudumu

Namba 4, 5 na 6 zikiwa poa inapendeza zaidi.
Hasa namba 4 ikiboreshwa napenda zaidi
 
Mimi nina week,leo sijui kama nitanusurika.Mniombee
Pata kitu roho inataka, hata kama kinafupisha maisha.

Maisha yenyewe mafupi.

Mimi napenda kuwa in control kwa hivyo nikiishinda tamaa ya kulewa huo ndio ulevi wangu.
 
Wkend ndio hiyoo wanywaji wenzangu tusogee maeneo yetu ya kujidai,
Haya ni baadhi ya mambo tu yanayofanya kuichagua bar yangu ya kudumu

1.socket kwa ajili ya kuchajia simu, wanywaji wenzangu mnajua tifu la mama yeyoo akikusa hewani haswa akijua kabisa ni wkend.

2. Daftari la wateja wakudumu(maalwatan)[emoji23][emoji23], hili daftari muhimu sana haswa kwa awamu hii ya tano

3. Pooltable...asikwambie mtu pombe zikishaanza kukolea ukienda kugonga game mbili unakuja kuanza upya kabisa

4.wahudumu wanaojua kucheza mziki na wenye chura..Hii ni burudani inayotuvutia wateja wengi

5.jiko la kiti na supu....hiz ni kwa ajili yakutolea loki,mda mwingine haya mapombe yanakwangua utumbo inabidi upate chochote kitu

6. Dstv..bar yako kama haina hii huduma ushanikosa kabisa

Naomba kuwakilisha ndugu wajumbeView attachment 1182998
Naongezea vyangu sasa
1. Jirani kuwe na sehemu unaweza OSHA gari
2. Kuwe na mpiga kiwi viatu
3. Parking
 
Nini kilikuachisha? Maana kwa kawaida, kama si kulala mitaroni, au daktari asiposema kuwa utakufa usipoacha, NI NGUMU SANA
Yaani nisikilize huo mwaka wa 18 wenyewe nlionjeshwa tu na mshikaji wangu ila siwezi kunywa pombe mimi

Amini siwezi na sitokuja
 
Mi sehemu ikiwa na yafuatayo lazima nitarudi
1.Music mkubwa ya makelele flani hivi halafu dj apige nyimbo flni admu
2.Wahudumu wazuri wawe na mikia ya kondoo
3.Nisiombwe hela kabla ya kuhusumiwa yaani ile tabia ya kuagiza halafu muhudumu anasema lete hela kwanza inanikera sana
4.Kuwe na show za akina dada wenye mikia flani ya mbweha
5.Pawe na car wash
6.Pawe na watu wengi na wadada wa chuo wanaotega tega
7.Watu wakilewa wacheze hadhalani.
 
Ukikosa Temboni Kimara njoo hadi Kibamda cha mkaa kulekea daraja la mbao yupo jamaa anachoma kutumia kuni na kurost sema anatumia mawese kwenye rost omba kavu tu nusu buku 4 humalizi
Temboni eneo gani mkuu? panaitwaje hilo eneo?
 
Back
Top Bottom