Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wakuu
Yafuatayo ni mambo makuu ambayo naamini kabisa yatamshangaza sana kama sio kumshtua Babu Seya atakapotoka Jela.
(1) Mh Freemen Mbowe bado ni Mwenyekiti wa Chadema
(2) JPM "kutekeleza" ajenda zote kuu za Chadema.
(3) Mazishi ya kitaifa ya kamanda mbwa yakiogozwa na Wabunge wawili.
(4) Marufuku ya kutamka neno Ufisadi Chadema
(5) Kila Mbunge wa Upinzani kufuatiliwa na Nissan nyeupe
(6)Wabunge wanaoenda CCM kununuliwa lakini wanaoenda upinzani wanajitoa kwa hiari yao
(7)CCM kuiba kura uchaguzi wa madiwani na kushinda kata 42 kati ya 43
Karibuni tuendelee
Yafuatayo ni mambo makuu ambayo naamini kabisa yatamshangaza sana kama sio kumshtua Babu Seya atakapotoka Jela.
(1) Mh Freemen Mbowe bado ni Mwenyekiti wa Chadema
(2) JPM "kutekeleza" ajenda zote kuu za Chadema.
(3) Mazishi ya kitaifa ya kamanda mbwa yakiogozwa na Wabunge wawili.
(4) Marufuku ya kutamka neno Ufisadi Chadema
(5) Kila Mbunge wa Upinzani kufuatiliwa na Nissan nyeupe
(6)Wabunge wanaoenda CCM kununuliwa lakini wanaoenda upinzani wanajitoa kwa hiari yao
(7)CCM kuiba kura uchaguzi wa madiwani na kushinda kata 42 kati ya 43
Karibuni tuendelee