Mambo manne ambayo hupaswi kuyafanya wakati wa kulala..

Mambo manne ambayo hupaswi kuyafanya wakati wa kulala..

Hiyo namba moja na mbili ni kweli kabisa,mwanga mkali wa simu na Television huzuia ubongo kuzalisha MELATONIN ambayo husaidia mtu kupata usingizi.

Simu na TV zina option ya kupunguza mwanga kutoka mwanga mkali hadi giza giza. Na wanaolala bila kuzima taa wanazuia ubongo kuzalisha melatonin pia?
 
Hiyo namba moja na mbili ni kweli kabisa,mwanga mkali wa simu na Television huzuia ubongo kuzalisha MELATONIN ambayo husaidia mtu kupata usingizi.
Ooooh dah kumbe ndiyo maana huwa nikiwa nachezea simu nikiwa kitandani sipati tena usungiziii ....nilikuwa sijui tatizo ni nn
 
Duuih na namba 3 na yenyewe huwa ni muhusika mzur, kwa hiyo we ukitaka kulala tuu unakimbilia kitandani na msahani yAko yamejaa msosi pomon na kuanza kula usingiz ukikupitia misahani mibakuli michafu unalala nayo asubuh ndo unaitoa, kaah hii tabia sio nzur kabisa acha maramoja
Nalala na chupa ya maji ya kunywa... Napenda kunywa maji sana hadi kitandani... Mda mwingine nakua na crisps wakati naangalia movie kitandani.
 
Wataalamu wanasema kula chapati haifai kiafya, maandazi sio mazuri kwa afya, mboga za majani zilizokatwakatwa na kuungwa sio nzuri, ugali wa mahindi yaliyokobolewa ni mbaya kwa afya, kunywa maji ya baridi haifai, soda ni mbaya, bia na aina zote za pombe hazifai, na mavitu kede kede, tuna kazi ya ziada


Hata jamiiforum nayo si nzuri kwa afya
 
na tunaolazimisha "self contained" kwa kuweka visadolin vya haja ndogo uvunguni hakuna madhara!
 
Wataalamu wanasema kula chapati haifai kiafya, maandazi sio mazuri kwa afya, mboga za majani zilizokatwakatwa na kuungwa sio nzuri, ugali wa mahindi yaliyokobolewa ni mbaya kwa afya, kunywa maji ya baridi haifai, soda ni mbaya, bia na aina zote za pombe hazifai, na mavitu kede kede, tuna kazi ya ziada
Sasa mbona wamezuia vyakula vyote, ina maana tusile.
 
Penyewe wanasema unga wa dona una madhala mafuta ya alizeti ambayo yalikuwa yanapewa kipau mbele kuwa ni mafuta bora kwa sasa yamekuwa tena hayafai sasa ni kipi kilicho bora kwa sasa?
 
Me nafanya vyote kasoro namba 3 ila ucngz kama kawa fainali uzeeni ingawa ckuiz kuzeeka ni majaliwa
 
Hivi kulala ni kitandani tu? Au kucht na sm ni kitandani tu?kwani ukiwa sitting room NA UKAFANYA hayo huwezi kupata athari?basi wangetoa onyo kama SIGARA...kuangalia TV na KUCHT USIKU ni hatari kwa afya yako...
 
usingzi wangu mpaka nikumbatie mtu au hata mto ndiyo unakuja vizuri ila usiku najikuta sijashika tena
 
Inafurahisha sana...

2 an 3 kweli siyo vizuri... but hizo zingine mimi na mahondaw wangu... tunafanya sana... tena zaidi ya hapo.... we go extra miles, pillow fight, under cover... mengine wacha nikae kimya...

cc: mahondaw
 
Paprika
Sio kuchanganyikiwa...utakufa kwa njaa maana kila kitu kinakasoro.

utajikuta kila jambo si jema.
Hata ukiyafata hayo yote siku yako ya kufa ikifika imefika tu ni lazma ufe
In zirail voice
 
Back
Top Bottom