Mambo matatu yanayoangusha nchi nyingi za Afrika

Mambo matatu yanayoangusha nchi nyingi za Afrika

mnunity

Member
Joined
Jun 16, 2024
Posts
8
Reaction score
7
1. Less talent are in high position(ikimaanisha watu wenye uwezo mdogo wa kuwaza mambo makubwa kwa ushirikiano ndo wameshikilia nafasi nyeti)

2. Those who contribute a little are given a higher reward( ikimaanisha watu wanafanya kidogo ila wanataka waonekane kuwa bila wao tusingefika kokote ila kiuhalisia sio hivyo)

3. Those who are immoral are in favour( ikimaanisha watu wasio na maadili ndo wanaonekana kuwa ndio watu)
 
1. Less talent are in high position(ikimaanisha watu wenye uwezo mdogo wa kuwaza mambo makubwa kwa ushirikiano ndo wameshikilia nafasi nyeti)

2. Those who contribute a little are given a higher reward( ikimaanisha watu wanafanya kidogo ila wanataka waonekane kuwa bila wao tusingefika kokote ila kiuhalisia sio hivyo)

3. Those who are immoral are in favour( ikimaanisha watu wasio na maadili ndo wanaonekana kuwa ndio watu)
Chawa ndo wanapewa kipaumbele. Uchawa ndo criteria ya teuzi Kwa nafasi nyingi za kiutendaji na kimaamuzi si uwezo halisi wa kuwa na maono au kutenda jambo.
 
4. Large population that lacks critical thinking (majority ya raia wa nchi nyingi za Africa hawawezi kuchanganua mambo kwa kina)

5. Idadi ndogo ya STEM graduates (Huwezi kuunda industrial nation kama una rundo la wakulima na arts graduates)
 
1. Less talent are in high position(ikimaanisha watu wenye uwezo mdogo wa kuwaza mambo makubwa kwa ushirikiano ndo wameshikilia nafasi nyeti)

2. Those who contribute a little are given a higher reward( ikimaanisha watu wanafanya kidogo ila wanataka waonekane kuwa bila wao tusingefika kokote ila kiuhalisia sio hivyo)

3. Those who are immoral are in favour( ikimaanisha watu wasio na maadili ndo wanaonekana kuwa ndio watu)
Lete materials kijana mgeni, Karibu.
 
Back
Top Bottom