ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈBongo mtu anaomba kazi kwa kilio ila akipata, lazma abembelezwe kuifanya
"Hili nalo mkalitazame"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈBongo mtu anaomba kazi kwa kilio ila akipata, lazma abembelezwe kuifanya
"Hili nalo mkalitazame"
Sijaona uliposema ujinga wa Watanzania unatokana na nini!Niliwahi kuandika uzi zamani kuhusu hilo, jisomee:
Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti. Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa. Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...www.jamiiforums.com
4.Eti tuko awamu ya sita, wakati tuko awamu ya nne.Amini usiamini mambo haya yanatokea kwenye nchi yetu hivi hivi tukiwa tunaona!
Tuanze
1. Unaambiwa bodi ya Mishahara iliundwa mwaka 2017 na ikamaliza muda wake bila mishahara kubadilishwa! Na Sasa tunasikia itaundwa bodi nyingine maalumu kwa ajili ya kuangalia pensheni za Wastaafu!! Hapa source ni makamu wa raisi kwenye mei Mosi
π€£π€£π€£ Yaani ni sawa na kuunda kamati hewa ya harusi na kukaa vikao bila kuwa na bwana au Bibi harusi yeyote Halafu mwishowe mnavunja kamati!
2. Ndege inanunuliwa marekani huko kwa mtengenezaji Y. Ila imeharibika imepelekwa Malaysia. Sasa kufika huko Malaysia unaambiwa injini hakuna ni za kusubiria! (Foleni) π€£π€£π€£
3. Tume ya uchaguzi imebadilishwa jina kuwa tume HURU, ila wajumbe wake ni wale wale, anayewachagua ni yule yule, wasimamizi ni wale wale!
Katiba ni Ile ile! Na bado tunaaminishwa eti hii ni tofauti π€£π€£π€£π€£π€£
Hebu ongezea ya kwako
4.
5.
Huu Ni Upuuzi Wa Hovyo Na Hili Akija Rais Mwingine Alifute Haraka1 Unaambiwa Kila mzanzibar ni mtanzania ila sio Kila mtanzania ni mzanzibar.
2. Unaambiwa mzanzibar anaweza kuwa mkuu wa mkoa/wilaya/mkurugenzi Tanganyika ila mtanganyika haiwezi kuwa hata mwenyekiti wa serikali ya mtaa Zanzibar
3. Unaambiwa Kila mzanzibar anaweza kuomba ajira sehemu yyte Tanganyika na akaajiriwa vizur tu ila mtanganyika haruhusiwi kuomba ajira yyte kwenye serikali ya SMZ.
4. Unaambiwa mzanzibar anaruhusiwa kumiliki ardhi Tanganyika ila ni marufuku kwa mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar.