Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ebu mtaje basiNshampata duh leo ni mwendo wa code tu aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu mtaje basiNshampata duh leo ni mwendo wa code tu aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ebu mtaje basi
Yule binti mashauzi? Sasa ana udini gani numbiAyaa shunie jaman watu wamemkumbuka hadi kanumba bado tu hujafungua code!
Udini wa kuimba gospel akiwa garini au saloon... Ila anafaa kufanya promo za gospel.Yule binti mashauzi? Sasa ana udini gani numbi
Jamani kwa muonekano ule mbona naona ka mnamuonea..makafara
jamanii[emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mji mzito huu , kaingia maagano bila kujijua looh , ina Mcost Sasa hiv
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahahaha na huyu ni shikanaaaaDooh , jaman kumbe ndio maana kila anayekua nae anaishia kule, mmh jaman nyie mastaa kutwa kwa waganga kutafuta nyota na umaarufu muwe mnafikiria na fyucha zenu jaman, ndio umaarufu mtamu , Ila hizo laana na mikosi mnayobeba huko inacost fyucha zenu.
Sasa huyu nae mwanakuyatafuta mwanakuyapata mmh , yan mpaka Kafara juu Kisa tu umaarufu na pesa? Una bahati sana umejiwahi kwenye dini, labda safari hii kikombe unachokunywaga kila mwaka kitakuepuka
Nakutakia ndoa Njema, ukifanikiwa kuuepuka tena mtihani huu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi ndoa ile iliishia wapi jamani mambo haya lolMji mzito huu , kaingia maagano bila kujijua looh , ina Mcost Sasa hiv
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeniacha binaBinamu nae jaman
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yule binti mashauzi? Sasa ana udini gani numbi
Hapo sawaUdini wa kuimba gospel akiwa garini au saloon... Ila anafaa kufanya promo za gospel.
"Thank you God"
HahhahhaKwan hujui dada ake wa kuchonga kaokoka na kwaya anaimba,nae kajiweka huko kisaniii saniii watu wamuonee huruma