Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kumekuwa na wanaharakati wengi sana wa masuala mbalimbali ya kijamii, ambao wamekuwa wakitamani kile wanachokitetea au kuelimisha kiwekwe kwenye mitaala ya elimu.
Binafsi nadhani si kila kitu lazima kiwekwe kwenye mtaala. Wanafunzi wana mambo mengi sana ya kujifunza ili waweze kujitegemea na kujiajiri baada ya kuhitimu.
Masuala mengine yawekwe hata kwenye vipeperushi au yafundishwe kama masuala mtambuka kutegemea na mazingira husika
Binafsi nadhani si kila kitu lazima kiwekwe kwenye mtaala. Wanafunzi wana mambo mengi sana ya kujifunza ili waweze kujitegemea na kujiajiri baada ya kuhitimu.
Masuala mengine yawekwe hata kwenye vipeperushi au yafundishwe kama masuala mtambuka kutegemea na mazingira husika