Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Mwaka mwingine tena na mfumo mpya wa kukusanya mapato unaoitwa Taxpayer portal. Mambo yanaendela kuwa mazuri kwahiyo ni kwa misingi ya kukusanya taarifa sahihi kwajili ya kulipia Kodi.
 
Mwaka mwingine tena na mfumo mpya wa kukusanya mapato unaoitwa Taxpayer portal. Mambo yanaendela kuwa mazuri kwahiyo ni kwa misingi ya kukusanya taarifa sahihi kwajili ya kulipia Kodi.
Mkuu naomba mngozo

Hivi subsidiary company inaweza milikiwa 100% na holding company pekee? Au umiliki lazima iwe holding company na mtu mwingine?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu naomba mngozo

Hivi subsidiary company inaweza milikiwa 100% na holding company pekee? Au umiliki lazima iwe holding company na mtu mwingine?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Uli kuuita hii ni subsidiary lazima kampuni iwe inamiliki share zaidi ya 50. So kama ikiwa na share zaidi ya hizo inakuwa subsidary iwe inamiiliki 100% au zaidi ya 50%. naamini nimeeleweka. Na ikiwa inamiliki chini ya asilimia 50% inaitwa kampuni zenye mahusiano ( Affiliated).
 
Uli kuuita hii ni subsidiary lazima kampuni iwe inamiliki share zaidi ya 50. So kama ikiwa na share zaidi ya hizo inakuwa subsidary iwe inamiiliki 100% au zaidi ya 50%. naamini nimeeleweka. Na ikiwa inamiliki chini ya asilimia 50% inaitwa kampuni zenye mahusiano ( Affiliated).
Sijakuelewa mkuu.. iko hivi..

Ili kampuni ya kawaida isajiliwe kama kampuni lazima iwe na shareholders 2 au zaidi!

Sasa kwa case ya holding company na subsidiary je ni lazima subsidiary imilikiwe na wana hisa wawili au zaidi au inaweza milikiwa 100% na holding company moja?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Sijakuelewa mkuu.. iko hivi..

Ili kampuni ya kawaida isajiliwe kama kampuni lazima iwe na shareholders 2 au zaidi!

Sasa kwa case ya holding company na subsidiary je ni lazima subsidiary imilikiwe na wana hisa wawili au zaidi au inaweza milikiwa 100% na holding company moja?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Subsidiary kama nilivyosema inakuwa kuanzia zaidi ya 50% . So unaweza kuwa na 75% ila ikiwa whole owned sasa unatengeneza group of companies ambapo kampuni moja inamiliki kampuni nyingine 100%
 
Subsidiary kama nilivyosema inakuwa kuanzia zaidi ya 50% . So unaweza kuwa na 75% ila ikiwa whole owned sasa unatengeneza group of companies ambapo kampuni moja inamiliki kampuni nyingine 100%
Mkuu nashukuru kwa majibu.

1. Nba holding inaitwa XYZ holdings ambapo mimi ni moja ya wanahisa kwenye hii holdings companya.

2. Je nikifungua subsidiary inayoitwa Sub1 je ni sahihi kwrnye kitabu chake mmiliki akawa holding company XYZ kwa 51% na mimi kama mmiliki wa holding company nikachukua 49% za kampuni ya sub1 zilizobaki?
 
Heri na Fanaka za Mwaka Mpya. Katika mwaka huu angalia biashara zako zinafanyika kutokana na kufuata sheria na taratibu. Fanya makadirio Mapema, kabla ya tarehe 31/ 03/2025 Hakikasha Return zako za Brela zimefanyika Mapema pia, Na mahesabu yako yanafanyika kabla ya Tarehe 30/06/ 2025. Usisahu ile Service levy ambayo iliishia December 2024.
 
Back
Top Bottom