Mambo muhimu ya kuzingatia unapo maliza chuo au kuanza maisha

Mambo muhimu ya kuzingatia unapo maliza chuo au kuanza maisha

Saint Anne

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2018
Posts
76,039
Reaction score
230,142
Habari zenu wana jf..
Ningependa kushare na ninyi mambo machache kabisa ya kuangalia kwa kijana uliye maliza chuo,unaye anza maisha na uliyeko chuoni pia

1Aina ya kazi
Usichague kazi ya kufanya hata kama hailingani na kitu unacho kisoma au ulichokisoma
Shikamana na ule mlango unaofunguka

2.Eneo la kuishi
Si kila mahali unaweza ukafanikiwa.Mungu amekuumbia eneo Fulani la kufanikiwa.ombea na takia amani mji ule ambao Mungu ameandaa kwa ajili yako

3.Aina ya marafiki
Kuna aina ya watu katika maisha ambao inatakiwa uwapoteze ili uweze kufanikiwa.
There are friends to keep and friends to loose

Sent using Jamii Forums mobile app
 
-uzuri nilianza kufanya kazi rasmi (employed) nikiwa chuo mwaka wa pili so nilipomaliza chuo sikuwa na ile shida ya kutafuta kazi nashukuru mungu kwa hilo

-kuhusu marafiki sinaga marafiki wapya wale tuliokutana chuo urafiki uliisha siku nilipomaliza chuo umebaki ushkaji tu (sometimes marafiki wapya wanakujaga na hasara nyingi kuliko faida)

-uchaguzi wa kazi....kama unategemea kuajiriwa basi usichague kazi ila pia usiajiliwe kama fashion yaani unatoa nguvu nyingi na unaingiza kidogo ila tu unaendelea na kazi huo muda unaotumika kazini unaweza kuutumia kufanya kitu kingine productive

-eneo la kufanikiwa... kuna maeneo ukiishi hadi akili inalala yaani kuna maeneo ni mazuri kwa kuishi tayari ukiwa na mchongo sababu hakuna mishe kila mtu yupo ndan kwake so hakuna jipya utakaloingiza zaidi ya akili yako kulala

-hitimisho kuajiriwa ni kuzuri ila kujiajiri ni kuzuri zaidi... tumia ajira kama njia ya ww kujiajiri.....
 
-uzuri nilianza kufanya kazi rasmi (employed) nikiwa chuo mwaka wa pili so nilipomaliza chuo sikuwa na ile shida ya kutafuta kazi nashukuru mungu kwa hilo

-kuhusu marafiki sinaga marafiki wapya wale tuliokutana chuo urafiki uliisha siku nilipomaliza chuo umebaki ushkaji tu (sometimes marafiki wapya wanakujaga na hasara nyingi kuliko faida)

-uchaguzi wa kazi....kama unategemea kuajiriwa basi usichague kazi ila pia usiajiliwe kama fashion yaani unatoa nguvu nyingi na unaingiza kidogo ila tu unaendelea na kazi huo muda unaotumika kazini unaweza kuutumia kufanya kitu kingine productive

-eneo la kufanikiwa... kuna maeneo ukiishi hadi akili inalala yaani kuna maeneo ni mazuri kwa kuishi tayari ukiwa na mchongo sababu hakuna mishe kila mtu yupo ndan kwake so hakuna jipya utakaloingiza zaidi ya akili yako kulala

-hitimisho kuajiriwa ni kuzuri ila kujiajiri ni kuzuri zaidi... tumia ajira kama njia ya ww kujiajiri.....
Vizuri sana kaka
 
Habari zenu wana jf..
Ningependa kushare na ninyi mambo machache kabisa ya kuangalia kwa kijana uliye maliza chuo,unaye anza maisha na uliyeko chuoni pia

1Aina ya kazi
Usichague kazi ya kufanya hata kama hailingani na kitu unacho kisoma au ulichokisoma
Shikamana na ule mlango unaofunguka

2.Eneo la kuishi
Si kila mahali unaweza ukafanikiwa.Mungu amekuumbia eneo Fulani la kufanikiwa.ombea na takia amani mji ule ambao Mungu ameandaa kwa ajili yako

3.Aina ya marafiki
Kuna aina ya watu katika maisha ambao inatakiwa uwapoteze ili uweze kufanikiwa.
There are friends to keep and friends to loose

Sent using Jamii Forums mobile app
Namba tatu hapo tusaidie, kama una rafiki ambaye umegundua hakufai, unafanyaje kuuvunja urafiki kwa amani? unamchana live kuwa hutaki kufahamiana naye tena? unabadili njia kila unapomuona? unamblock au kubadili namba? au unafanyaje?

Nadhani kila mtu kaambiwa asijichanganye na marafiki wabaya wasiokusaidia lolote ila hakuna anayesema vipi uvunje urafiki bila kujenga chuki na resentment
 
[emoji4][emoji4]nimempata
Habari zenu wana jf..
Ningependa kushare na ninyi mambo machache kabisa ya kuangalia kwa kijana uliye maliza chuo,unaye anza maisha na uliyeko chuoni pia

1Aina ya kazi
Usichague kazi ya kufanya hata kama hailingani na kitu unacho kisoma au ulichokisoma
Shikamana na ule mlango unaofunguka

2.Eneo la kuishi
Si kila mahali unaweza ukafanikiwa.Mungu amekuumbia eneo Fulani la kufanikiwa.ombea na takia amani mji ule ambao Mungu ameandaa kwa ajili yako

3.Aina ya marafiki
Kuna aina ya watu katika maisha ambao inatakiwa uwapoteze ili uweze kufanikiwa.
There are friends to keep and friends to loose

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba tatu hapo tusaidie, kama una rafiki ambaye umegundua hakufai, unafanyaje kuuvunja urafiki kwa amani? unamchana live kuwa hutaki kufahamiana naye tena? unabadili njia kila unapomuona? unamblock au kubadili namba? au unafanyaje?

Nadhani kila mtu kaambiwa asijichanganye na marafiki wabaya wasiokusaidia lolote ila hakuna anayesema vipi uvunje urafiki bila kujenga chuki na resentment
Unapunguza mawasiliano taratibu
 
-uzuri nilianza kufanya kazi rasmi (employed) nikiwa chuo mwaka wa pili so nilipomaliza chuo sikuwa na ile shida ya kutafuta kazi nashukuru mungu kwa hilo

-kuhusu marafiki sinaga marafiki wapya wale tuliokutana chuo urafiki uliisha siku nilipomaliza chuo umebaki ushkaji tu (sometimes marafiki wapya wanakujaga na hasara nyingi kuliko faida)

-uchaguzi wa kazi....kama unategemea kuajiriwa basi usichague kazi ila pia usiajiliwe kama fashion yaani unatoa nguvu nyingi na unaingiza kidogo ila tu unaendelea na kazi huo muda unaotumika kazini unaweza kuutumia kufanya kitu kingine productive

-eneo la kufanikiwa... kuna maeneo ukiishi hadi akili inalala yaani kuna maeneo ni mazuri kwa kuishi tayari ukiwa na mchongo sababu hakuna mishe kila mtu yupo ndan kwake so hakuna jipya utakaloingiza zaidi ya akili yako kulala

-hitimisho kuajiriwa ni kuzuri ila kujiajiri ni kuzuri zaidi... tumia ajira kama njia ya ww kujiajiri.....
📌📌📌
 
Back
Top Bottom