Utajuaje Kama unakaribia kumaliza maisha yako??ukija na uzi unahousiana na mambo ya kuzingatia unapomaliza au kukaribia kumalizia maisha yako naomba unitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajuaje Kama unakaribia kumaliza maisha yako??ukija na uzi unahousiana na mambo ya kuzingatia unapomaliza au kukaribia kumalizia maisha yako naomba unitag
Umekata tamaa kiasi hiki?ukija na uzi unahousiana na mambo ya kuzingatia unapomaliza au kukaribia kumalizia maisha yako naomba unitag
Santeeee-uzuri nilianza kufanya kazi rasmi (employed) nikiwa chuo mwaka wa pili so nilipomaliza chuo sikuwa na ile shida ya kutafuta kazi nashukuru mungu kwa hilo
-kuhusu marafiki sinaga marafiki wapya wale tuliokutana chuo urafiki uliisha siku nilipomaliza chuo umebaki ushkaji tu (sometimes marafiki wapya wanakujaga na hasara nyingi kuliko faida)
-uchaguzi wa kazi....kama unategemea kuajiriwa basi usichague kazi ila pia usiajiliwe kama fashion yaani unatoa nguvu nyingi na unaingiza kidogo ila tu unaendelea na kazi huo muda unaotumika kazini unaweza kuutumia kufanya kitu kingine productive
-eneo la kufanikiwa... kuna maeneo ukiishi hadi akili inalala yaani kuna maeneo ni mazuri kwa kuishi tayari ukiwa na mchongo sababu hakuna mishe kila mtu yupo ndan kwake so hakuna jipya utakaloingiza zaidi ya akili yako kulala
-hitimisho kuajiriwa ni kuzuri ila kujiajiri ni kuzuri zaidi... tumia ajira kama njia ya ww kujiajiri.....
hilo ni swaliUmekata tamaa kiasi hiki?
Unajua tu automaticallyUtajuaje Kama unakaribia kumaliza maisha yako??
Ndiyohilo ni swali
Nimeuliza kama utaandika uzi wa namna hyoNdiyo
AnhaaNimeuliza kama utaandika uzi wa namna hyo
You are one of those friends to be kept at all cost.Habari zenu wana jf..
Ningependa kushare na ninyi mambo machache kabisa ya kuangalia kwa kijana uliye maliza chuo,unaye anza maisha na uliyeko chuoni pia
1Aina ya kazi
Usichague kazi ya kufanya hata kama hailingani na kitu unacho kisoma au ulichokisoma
Shikamana na ule mlango unaofunguka
2.Eneo la kuishi
Si kila mahali unaweza ukafanikiwa.Mungu amekuumbia eneo Fulani la kufanikiwa.ombea na takia amani mji ule ambao Mungu ameandaa kwa ajili yako
3.Aina ya marafiki
Kuna aina ya watu katika maisha ambao inatakiwa uwapoteze ili uweze kufanikiwa.
There are friends to keep and friends to loose
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesha graduate ?Ila kweli ngoja nitafanyia kazi namba 2&3..maana sielewielewi
NdiyoUmesha graduate ?
Ume graduate Bachelor/masters/phd ya nini cha utamu ?Ndiyo
Ila kuhusu namba 3 inatakiwa uwe makini kuhusu marafiki wapo marafiki wa kuwapotezea na wapo aina flani ya marafiki sio wa kuwapotezea hata kama hawana umuhimu katika maisha yako hapa ,Habari zenu wana jf..
Ningependa kushare na ninyi mambo machache kabisa ya kuangalia kwa kijana uliye maliza chuo,unaye anza maisha na uliyeko chuoni pia
1Aina ya kazi
Usichague kazi ya kufanya hata kama hailingani na kitu unacho kisoma au ulichokisoma
Shikamana na ule mlango unaofunguka
2.Eneo la kuishi
Si kila mahali unaweza ukafanikiwa.Mungu amekuumbia eneo Fulani la kufanikiwa.ombea na takia amani mji ule ambao Mungu ameandaa kwa ajili yako
3.Aina ya marafiki
Kuna aina ya watu katika maisha ambao inatakiwa uwapoteze ili uweze kufanikiwa.
There are friends to keep and friends to loose
Sent using Jamii Forums mobile app
🙏Ila kuhusu namba 3 inatakiwa uwe makini kuhusu marafiki wapo marafiki wa kuwapotezea na wapo aina flani ya marafiki sio wa kuwapotezea hata kama hawana umuhimu katika maisha yako hapa ,
Kwani kuna vitu kama vile msiba, majanga ya moto,mafuriko hivyo kuna aina flani ya marafiki inabidi tuwe nao hivyo hivyo kwani ndo wanakuwaga watu wa kwanza kutoa msaada hivyo tuweni makini katika hili kwani Mimi
Nimeshawahi kushuhudia kuna mshikaji alifiwa lakini pale kwao hakuna watu waliofikaa
Diploma ya mechanical engineeringUme graduate Bachelor/masters/phd ya nini cha utamu ?