Sishei dudu,
I can stay without it forever ila sio kushare
upo too emotional na dudu dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sishei dudu,
I can stay without it forever ila sio kushare
Huyo jamaa sio tu ni mtu wa hovyo yaani hana akili kabisa, matendo ya mtu mmoja anayaoanisha na uislam.Wewe nawe ni moja ya watu wa hovyo kabisa 😅
Mkuu unaonaje tukakuzika mapema halafu ndo sherehe za msiba ziendelee mwezi mzima? Watu wana majukumu yao mengine acha wawahi kuondoka halafu wale wasio na shughuli za kufanya wabaki hapo msibani mwezi mzima wakisheherekea, wewe kuwa na pesa isiwe sababu ya kupotezea watu muda. Imagine unapata taarifa ya msiba Leo lkn unaambiwaa mazishi ni mwezi ujao au baada ya wiki mbili, hivi utaenda msibani leo au utasubiri baada ya wiki mbili ukazike?Umesoma vizuri post yangu?
Mali si nimetafuta mimi au? Kwani kuacha urithi ni lazima?
Kama watoto wana maisha yao na mke nimeshamkabidhi vya kwake, hapo vipi?
Kwa hiyo lengo lenu ni mimi tu kuniwahisha kunizika? Sitaki sasa!Mkuu unaonaje tukakuzika mapema halafu ndo sherehe za msiba ziendelee mwezi mzima? Watu wana majukumu yao mengine acha wawahi kuondoka halafu wale wasio na shughuli za kufanya wabaki hapo msibani mwezi mzima wakisheherekea, wewe kuwa na pesa isiwe sababu ya kupotezea watu muda. Imagine unapata taarifa ya msiba Leo lkn unaambiwaa mazishi ni mwezi ujao au baada ya wiki mbili, hivi utaenda msibani leo au utasubiri baada ya wiki mbili ukazike?
Nini kinakuzuia kusilimu mkuu???Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.
1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma
2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia
3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao
4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.
5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini
6: Kuharakisha mazishi.
7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!
8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Basi mchungaji mwakifyongo kutoka chunya akishawaambieni hivyo chachi mnaona nyie ndo wa mbinguni wenzenu motoni😂😂 Eti ndoa ya mda mfupi,, we unamjua hata mtu mmoja ambae kashawahi kufunga hiyo ndoa ya mda mfupi?? Mchungaji mwakifyongo anakudanganya na we umetulia kabisa kwenye benchi yale makanisa ya mabati na mikelele juu,, haleloyaaa mbengo zikafongokee 😂😀😂😀Hakuna Ndoa katika Uislam..Wengi wanajua ni ''Nikah'' but tafsir ya Nikah ni "sexual intercourse'' Kuna Ndoa fupi zinaitwa Muta Allah ameruhusu wewe unakubaliana tu na Mwanamke kiasi cha pesa au mali mnasex hata kwa dakika tano popote pale ila mnaweza endelea hata siku tatu lakini umlipe mwanamke tu... aka Ukahaba and its oks ukiwa Muislam kuwa Pimp same Allah keshaandaa Mabikira 70 peponi na wanaume huko mwendo ni kusex tu with your endless penis.
Stupid religion
Kwani unaolewa kwenda kuosha vyombo?upo too emotional na dudu dada
Halafu anaoa tena na tenaKuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa
Cc Haji munaraHalafu anaoa tena na tena
WanachoshaCc Haji munara
Esma, Dida
😂😂KwikwikwiKuoa-kuacha (usiku umeolewa asubuhi unakuta talaka whatsapp)
Napentraaa
Sasa unauweka mwili mfu wa nini?Huu msiba na mazishi silipendi kwanini wanazika haraka?
Hii weka na 2, baada ya Ile ya kuao Zaid ya 1.Ahsante kwa ufafanuzi mzuri mkuu.