Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

Umesoma vizuri post yangu?

Mali si nimetafuta mimi au? Kwani kuacha urithi ni lazima?

Kama watoto wana maisha yao na mke nimeshamkabidhi vya kwake, hapo vipi?
Mkuu unaonaje tukakuzika mapema halafu ndo sherehe za msiba ziendelee mwezi mzima? Watu wana majukumu yao mengine acha wawahi kuondoka halafu wale wasio na shughuli za kufanya wabaki hapo msibani mwezi mzima wakisheherekea, wewe kuwa na pesa isiwe sababu ya kupotezea watu muda. Imagine unapata taarifa ya msiba Leo lkn unaambiwaa mazishi ni mwezi ujao au baada ya wiki mbili, hivi utaenda msibani leo au utasubiri baada ya wiki mbili ukazike?
 
Binaadamu yeyote anayeongozwa na nyege,hana tofauti na mbwa.
 
Mkuu unaonaje tukakuzika mapema halafu ndo sherehe za msiba ziendelee mwezi mzima? Watu wana majukumu yao mengine acha wawahi kuondoka halafu wale wasio na shughuli za kufanya wabaki hapo msibani mwezi mzima wakisheherekea, wewe kuwa na pesa isiwe sababu ya kupotezea watu muda. Imagine unapata taarifa ya msiba Leo lkn unaambiwaa mazishi ni mwezi ujao au baada ya wiki mbili, hivi utaenda msibani leo au utasubiri baada ya wiki mbili ukazike?
Kwa hiyo lengo lenu ni mimi tu kuniwahisha kunizika? Sitaki sasa!

Watu hawalazimishwi kukaa msibani, kama unaona una majukumu sana unachapa raba, unawaacha wana wakiendelea kushusha biere.

Mimi nikifa nakaa siku nne, ya tano ndiyo nazikwa. Kuna watu wanatoka Marekani unataka wakute nimeshafukiwa washindwe kuniaga?
 
Pamoja na ukristo wangu yapo mambo kadhaa nayoyapenda kwa waislamu.

1. Kutoruhusu mtume wao adhalilishwe au kudhihakiwa. Huwezi kumkashfu mtume au kitabu chao cha Quran mbele yao halafu wakutazame tu. Lazima wakuletee noma

2. Mavazi ya staha kwa wanawake
Napenda sana dress code kwa wanawake. Wanavaa mavazi ya staha. Sehemu za ibada huwezi kuvaa kihuni-huni ukaingia

3. Kutengana wanawake na wanaume kwenye ibada zao

4. Kuruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja kwa mtu mwenye uwezo wa kuwatunza.

5. Utoaji wa sadaka usiotia umasikini

6: Kuharakisha mazishi.

7. Kutomtenga muumini (Hapa uswali ama usiswali ilimradi wewe ni muislamu ukifa hamna longolongo utazikwa mahali popote! Njoo kwetu!

8: Kuharakisha ndoa! Hamna longolongo!
Nini kinakuzuia kusilimu mkuu???

Wahi haraka ukale mautamu ya Allah.
 
Hakuna Ndoa katika Uislam..Wengi wanajua ni ''Nikah'' but tafsir ya Nikah ni "sexual intercourse'' Kuna Ndoa fupi zinaitwa Muta Allah ameruhusu wewe unakubaliana tu na Mwanamke kiasi cha pesa au mali mnasex hata kwa dakika tano popote pale ila mnaweza endelea hata siku tatu lakini umlipe mwanamke tu... aka Ukahaba and its oks ukiwa Muislam kuwa Pimp same Allah keshaandaa Mabikira 70 peponi na wanaume huko mwendo ni kusex tu with your endless penis.
Stupid religion
Basi mchungaji mwakifyongo kutoka chunya akishawaambieni hivyo chachi mnaona nyie ndo wa mbinguni wenzenu motoni😂😂 Eti ndoa ya mda mfupi,, we unamjua hata mtu mmoja ambae kashawahi kufunga hiyo ndoa ya mda mfupi?? Mchungaji mwakifyongo anakudanganya na we umetulia kabisa kwenye benchi yale makanisa ya mabati na mikelele juu,, haleloyaaa mbengo zikafongokee 😂😀😂😀
 
Waislamu wako vizuri. Mimi napenda wanavyokataza kamari na kuchukia dhuluma. Hawanaga ishu za kwamba ukipigwa shavu la kulia ugeuze kushoto au kusamehe 7 x 70. Yaani ni jino kwa jino. Ninawakubali sana hawa ndugu.
 
Back
Top Bottom