kuna baadhi ya gari lita2 haliwakiElfu 5 ni lita kama 2.4 mkuu...ndio kilichotushangaza maana km unatumia kwa cku nzima lazima ni gari yenye engine ndogo sn
Point of correction a motor vehicle is an asset and not a liability!!! Because it belongs to him(the owner) and can last for a long period of time. However it may depreciate.Hongera mkuu kwa kuongeza liability
Mimi mwenyewe sina,,,,,Omg!!! I cant belive.... kumbe humu jamvini kuna watu walikua hawana magari.
Ndio madhara ya kupitisha watu darasa la saba kwenda form one na hawajui kusoma.....wapi nimeandika gari ni la mkopomkuu unajua mara nyingi magari ya mkopo ndo yanawafanyaga watu kuwa na hizo tabia zakoo, yani utakuta uannunua mafuta from no reason, sehemu ya miguu utataka show off ya gari lako, kupeleka car wash wakati unaweza osha mwenyewe, mkuu kama hujakata bima fanya fasta , haya magari ya mkopo huwa yanapata ajari usiyotegemea
* badilisha heding yako sema gari ya mkopo inaniendesha hiviiii???
Ndio madhara ya kupitisha watu darasa la saba kwenda form one na hawajui kusoma.....wapi nimeandika gari ni la mkopo
Point of correction a motor vehicle is an asset and not a liability!!! Because it belongs to him(the owner) and can last for a long period of time. However it may depreciate.
Umepanick ama umetokwa povu.πππ Ujue we sio mjinga sema tu una bahati mbaya unavyofikiriahata kama la mkopo utasemaa, hayo yote kamwambie huyoo ulomkopa, watu limbukeni wameshazoea kupanda ngazi kwa miguu, wakitumia lift tuu utaskia "naskia kizunguzungu, halafu kama nataka kurudi chini, kumbee ushambaa, eti gari linakunywa mafutaa, we vipi??, ulitaka ulipe supu, kama hutaki kutumia mafuta chukua baskeli , uongeze uchovuu wako, hayo ungeenda kule fb kijitangazaaa sio hukuu
*watch your foot*
Kagari kakutumia mafuta ya 5,000 kwa siku halafu anasema wadhifa wake umepanda,dunia haitaisha vitukoMafuta ya elfu tano kwa siku usjal aina usafir wako ushajulikana
Viingeleza vyenu vya kuvalia Tai hivi peleka hukoYou are right,
Motor vehicle is considered as asset especially when it is used to generate profit.
However as you said, it is a depreciating asset. Car loses value the moment you drive it . So every time you calculate your net worth, the contribution of your car value will go down.
It maybe an asset but it does generate a number of expenses and liabilities over time, which is the reason why a lot of people classify a car as a liability. Ongoing ownership costs include maintenance, lease/loan payments, gas,insurance,licenses,traffic fines (Especially now RPC Siro wants to maintain his record breaking fines/revenue collections) etc
But it occurs most of us use financial loans to buy motor vehicles.
Hiyo itakuwa Suzuki Kei. Wese la buku tano tosha.umenunua vitz,ist,starlet,raum au swift?? maana ndo zinaweza kuhimili hayo mafuta ya buku5