Valent florian
Member
- Oct 31, 2013
- 11
- 11
Mimi minimum 16 KM, 8 kwend kazini na 8 kurudiDar watu wanaendesha over 60 km kila siku ya kazi mkuu
Haijalishi b ado anahitaji pongezi..bila kujali amefanya jambo kubwa au dogo anastahili pongezi..Elfu 5 ni lita kama 2.4 mkuu...ndio kilichotushangaza maana km unatumia kwa cku nzima lazima ni gari yenye engine ndogo sn
Watu hawajui kila jitihada inahitaji pongezi. Kazi yao kuponda tu.Haijalishi b ado anahitaji pongezi..bila kujali amefanya jambo kubwa au dogo anastahili pongezi..
kila mbuzi atakula kwa Urefu wa kamba yake
Ndo uwezo wake afanyeje sasa.
Unaanza na misiba kila la kheriSina gari ila nipombioni kununua gari but siwezi kuwa kama mchizi eti madem wanavutwa na gari au kuweka mafuta ya buku tano. Nasema nooo nitanunua gari linirahisishie mihangaiko yangu not otherwise au cjui mm ni adult zaidi ya huyu dogo "may be"
Probably nikaanza na Mark X au Brevis
Elfu 5 ni lita kama 2.4 mkuu...ndio kilichotushangaza maana km unatumia kwa cku nzima lazima ni gari yenye engine ndogo sn
Baadae utakuja kuiuza kwa bei rahisi sana. Tafuta gari economy ambayo hata kuuz kwake sio shida. Ushafate mkumbo.Sina gari ila nipombioni kununua gari but siwezi kuwa kama mchizi eti madem wanavutwa na gari au kuweka mafuta ya buku tano. Nasema nooo nitanunua gari linirahisishie mihangaiko yangu not otherwise au cjui mm ni adult zaidi ya huyu dogo "may be"
Probably nikaanza na Mark X au Brevis
Nani kawatuma mkae mkoani na kisha kufanya kazi Dar. PoleniDar watu wanaendesha over 60 km kila siku ya kazi mkuu
mim 2km kwenda na kurudi. Kadiria natumia mafuta ya kiasi gani kwa mweziMimi minimum 16 KM, 8 kwend kazini na 8 kurudi
anitwa uncle na brotherDuuuh kwel watanzania tulio wengi tunawaza kurud nyuma sio kwenda mbele...yan gar umenunua kwa garama nabado kila siku unaweka ef 5 kwa ajil ya mafuta...huenda huna ata kiwanja,huna biashara yakukuingizia iyo ef 5 ulipe mafuta,huna pakupak ila ww unajisifia una gari???,,,et unaitwa boss,,,aya bana tajiri wasalimie mkoan uko
Sio ajabu kuona hata humu haters wameongezeka...πππππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] Duuuhmkuu unajua mara nyingi magari ya mkopo ndo yanawafanyaga watu kuwa na hizo tabia zakoo, yani utakuta uannunua mafuta from no reason, sehemu ya miguu utataka show off ya gari lako, kupeleka car wash wakati unaweza osha mwenyewe, mkuu kama hujakata bima fanya fasta , haya magari ya mkopo huwa yanapata ajari usiyotegemea
* badilisha heding yako sema gari ya mkopo inaniendesha hiviiii???
Mafuta ya 5000/- ni lita 2.5. Kuna magari yanatumia lita 1 kwa km mpaka 17, hujui ni gari gani anamiliki anaweza kuwa anakwenda km mpaka 30 kwa hio 5000/-.Mafuta ya book tano Kwa siku hiyo ni gari au pikipiki?