MAMBO NAYOYA EXPERIENCE BAADA YA KUMILIKI GARI

MAMBO NAYOYA EXPERIENCE BAADA YA KUMILIKI GARI

Elfu 5 ni lita kama 2.4 mkuu...ndio kilichotushangaza maana km unatumia kwa cku nzima lazima ni gari yenye engine ndogo sn
Haijalishi b ado anahitaji pongezi..bila kujali amefanya jambo kubwa au dogo anastahili pongezi..

kila mbuzi atakula kwa Urefu wa kamba yake

Ndo uwezo wake afanyeje sasa.
 
Haijalishi b ado anahitaji pongezi..bila kujali amefanya jambo kubwa au dogo anastahili pongezi..

kila mbuzi atakula kwa Urefu wa kamba yake

Ndo uwezo wake afanyeje sasa.
Watu hawajui kila jitihada inahitaji pongezi. Kazi yao kuponda tu.
 
Duuuh kwel watanzania tulio wengi tunawaza kurud nyuma sio kwenda mbele...yan gar umenunua kwa garama nabado kila siku unaweka ef 5 kwa ajil ya mafuta...huenda huna ata kiwanja,huna biashara yakukuingizia iyo ef 5 ulipe mafuta,huna pakupak ila ww unajisifia una gari???,,,et unaitwa boss,,,aya bana tajiri wasalimie mkoan uko
 
Sina gari ila nipombioni kununua gari but siwezi kuwa kama mchizi eti madem wanavutwa na gari au kuweka mafuta ya buku tano. Nasema nooo nitanunua gari linirahisishie mihangaiko yangu not otherwise au cjui mm ni adult zaidi ya huyu dogo "may be"
Probably nikaanza na Mark X au Brevis
Unaanza na misiba kila la kheri
 
Mnaosema ni gari ndogo,kwanza mnatakiwa mjiulize anaishi wapi na ofisi yake iko wapi. Mnaweza kukashfu mkakuta mtu anaishi km 3 toka anakokaa.

By the way hongera zako maana kuna wengine hata vitanda hawana na wanaponda na wengine baskeli walizonazo ni za uridhi. Asiyeshukuru kwa kidogo hata kikubwa hataweza kupata
Elfu 5 ni lita kama 2.4 mkuu...ndio kilichotushangaza maana km unatumia kwa cku nzima lazima ni gari yenye engine ndogo sn
 
Nilichogundua wanaoniponda kwamba natumia mafuta ya elf 5 kwa siku inawezekana hawana magari, wanafata mkumbo ama ni chuki....Mafuta ya elfu 5 kwa mji mdogo ukiwa na mizunguko ya kawaida ni kawaida kwa gari yoyote yenye 2000 cc na kushuka chini....
 
Sina gari ila nipombioni kununua gari but siwezi kuwa kama mchizi eti madem wanavutwa na gari au kuweka mafuta ya buku tano. Nasema nooo nitanunua gari linirahisishie mihangaiko yangu not otherwise au cjui mm ni adult zaidi ya huyu dogo "may be"
Probably nikaanza na Mark X au Brevis
Baadae utakuja kuiuza kwa bei rahisi sana. Tafuta gari economy ambayo hata kuuz kwake sio shida. Ushafate mkumbo.
 
Duuuh kwel watanzania tulio wengi tunawaza kurud nyuma sio kwenda mbele...yan gar umenunua kwa garama nabado kila siku unaweka ef 5 kwa ajil ya mafuta...huenda huna ata kiwanja,huna biashara yakukuingizia iyo ef 5 ulipe mafuta,huna pakupak ila ww unajisifia una gari???,,,et unaitwa boss,,,aya bana tajiri wasalimie mkoan uko
anitwa uncle na brother
 
Nijuavyo...raum, wish na zingine zenye cc1800 kushuka mafuta ya elfu tano yanatosha kukupeleka ofisini posta na kurudi kimara baruti vyema kabisa...maana km 13 kwa lita moja
 
mkuu unajua mara nyingi magari ya mkopo ndo yanawafanyaga watu kuwa na hizo tabia zakoo, yani utakuta uannunua mafuta from no reason, sehemu ya miguu utataka show off ya gari lako, kupeleka car wash wakati unaweza osha mwenyewe, mkuu kama hujakata bima fanya fasta , haya magari ya mkopo huwa yanapata ajari usiyotegemea

* badilisha heding yako sema gari ya mkopo inaniendesha hiviiii???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] Duuuh
 
Ila hapo kwa mafuta ya elfu 5000 kwa siku kwenye T.I mi ndio umenichosha
 
Back
Top Bottom