Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
- #41
Utapata tu suriya...
Mi nimeona wivu, lini mm nitapata wakumvalisha Pete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nimeona wivu, lini mm nitapata wakumvalisha Pete
Waulize wenyewe wanakimbia nini huku
Wagogo Tunakosea WapiHivi Ben ni mgogo?
hahaahaaWagogo Tunakosea Wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumchagua ndugai kuwa mbunge
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wagogo Tunakosea Wapi
Mc Pilipili, Ndugai
Mbukwa....
Naomba huyu Dada amfikishe mbali kijana wetu
Amfikiashe kileleni
mkuu sijawahi kukosa pa kulala eti nikalala nje ila nimewah kutembea kwa miguu mara nying tu kwa kukosa usafiriNje ya mada
Mkuu unaweza kulala kwenye gari, lakini hauwezi kutembea na nyumba
Nasubiri Arnelisa ageuke!Mwenzenu kaingia mazima huyoo
Benpol and AnerlisaView attachment 1082569
Mkuuu umesema kwa uchungu sanaNa iwe hivyo..
Hope kapata ujumbe wako
Nami naomba huyu Dada amfikishe mbali kijana wetu
Mkuuu umesema kwa uchungu sana
Tuwaombee yaliyo mema, nawasiishi kwa maigizo, waishi kwa kumpendeza Mungu ktk roho na kweliUchungu??hahahaa
Ni kinyume chake
Nimefurahi mno mkuu
Kama ni kweli Mungu awfikishe mbali
Kumchagua ndugai kuwa mbunge