mambo niaje LAW SCHOOL?

Mbnative

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
332
Reaction score
77
wadau naomba kuuliza kama sasa wanafunzi wa law school wanapewa ufadhili na serikali.nakumbuka mwanzo ilikuwa tatizo bse wengi walishindwa kulipa ada na ilikuwa tatizo kwa wale wa mkoani kuishi Dar kutokana na kukosa ufadhili. Hali iko vipi sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…