wadau naomba kuuliza kama sasa wanafunzi wa law school wanapewa ufadhili na serikali.nakumbuka mwanzo ilikuwa tatizo bse wengi walishindwa kulipa ada na ilikuwa tatizo kwa wale wa mkoani kuishi Dar kutokana na kukosa ufadhili. Hali iko vipi sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.