Duh! Huku mko na kina Salary Slip 😀Msauzi anakula 3 ndg
Hahaha 😂Duh! Huku mko na kina Salary Slip 😀
Mbumbumbu bila ya kuitaja Yanga, nafsi hairidhiki.1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa
2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya
3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.
4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.
5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.
6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.
7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo
8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final
9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa
10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
wanawake bana!hawawezi kutulia bila kumtaja mume wao "DAR YOUNG AFRICAN"1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa
2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya
3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.
4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.
5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.
6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.
7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo
8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final
9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa
10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
Hao kwenye CAF wanakuwaga wengine,si unajua kwenye Championship mnabadilika kabisa,so ondoa shaka.Maneno yenu mnayo ongea kila siku so acha uoga.1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa
2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya
3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.
4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.
5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.
6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.
7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo
8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final
9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa
10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
Mbumbumbu ndivyo walivyoUmezunguuuuka kumbe nia yako ni kuisema Yanga haya pole
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga kaja vp tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Laazima amtaje bwanake aliemkojoza bao 5
Benchi sio zuliHvi duchu mbna hamumuongelei yule mtoto. Takataka ile
Bora ww kolo mwenzake utusaidie kumuulizaNamba 10 imeingiaje hapo wakati uchambuzi unahusu Simba?
MengineyoNamba 10 imeingiaje hapo wakati uchambuzi unahusu Simba?
Hiyo namba 10 inahusiana vipi na mchezo wa simba10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
Ile ndo takataka kabisa sijui Simba wanashida gani huyu mchezaji hata ile Tembo hapati nambaHvi duchu mbna hamumuongelei yule mtoto. Takataka ile
Hyo point ya 10 ndy muhimu sana kwa NYUMA MWIKO FC.1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa
2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya
3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.
4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.
5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.
6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.
7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo
8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final
9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa
10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
Shika adanu yako [emoji16],mimi sio kolo mimi ni Mnyama a.k.a mwanalunyasiBora ww kolo mwenzake utusaidie kumuuliza