Mambo niliyoyaona leo Simba vs Singida

Mambo niliyoyaona leo Simba vs Singida

Wachezaji wa Simba na benchi lao ufundi huwa wanaridhika haraka na magoli wanayoyapata. Hata kama Simba wana uwezo wa kuifunga hiyo timu goli 20 wakishapata goli mbili/tatu hata kama ni dakika ya 10 kipindi cha kwanza kama upo kibanda umiza na mmiliki hajachukua pesa wewe ondoka kanywe soda na pesa yako.
 
1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa

2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya

3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.

4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.

5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.

6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.

7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo

8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final

9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa

10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
Mbumbumbu bila ya kuitaja Yanga, nafsi hairidhiki.
 
1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa

2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya

3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.

4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.

5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.

6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.

7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo

8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final

9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa

10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
wanawake bana!hawawezi kutulia bila kumtaja mume wao "DAR YOUNG AFRICAN"
 
1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa

2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya

3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.

4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.

5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.

6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.

7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo

8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final

9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa

10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
Hao kwenye CAF wanakuwaga wengine,si unajua kwenye Championship mnabadilika kabisa,so ondoa shaka.Maneno yenu mnayo ongea kila siku so acha uoga.
 
1. Ayoub Lakres ameanza kulewa sifa

2. Che Malone Fondoh amekuwa beki mbovu sana kutokana na makosa ya kitoro anayofanya

3. Babacar Sarr asiwe anaanzishwa kwani leo timu ilikuwa na uhai sana kipind cha kwanza.

4. Simba haina viungo, wanawapanga tu kwa sababu ni wachezaji wa mpira.

5. Inonga aruhusiwe kwenda kutafuta malisho mengine, pancha zimezidi.

6. Freddy Michael au Funga Funga ameanza kujitafuta.

7. Kapombe amechoka msithubutu tena kumchezesha kiungo

8. Kama Simba itacheza na mwarabu kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na Singida tunaweza kwenda semi final

9. Timu yetu sio ya ushindani kabisa

10. Yanga wamelamba nyaya za Transfoma kwa Mamelodi Sundowns.
Hyo point ya 10 ndy muhimu sana kwa NYUMA MWIKO FC.
 
Back
Top Bottom