Mambo saba muhimu kuelekea maandamano ya kitaifa bila kikomo

Mambo saba muhimu kuelekea maandamano ya kitaifa bila kikomo

Ni kweli mkuu mambo hayo ni muhimu sana.

Haiwezekani Mtu wa Paje aje kuuza bandari za Bara wakati za kwao Forodhani wameziacha.
 
Anza kwanza mwenyewe mkuu wakikufinya kende ndo utaelewa we jichanganye😁😁😁😁😁
1. Msajili wa Vyama vya siasa wala Rais au serikali yake hawana Mamlaka ya kuamua au kutupangia kuhusu Katiba tunayo itaka. Hicho kigenge walichokiunda hakina Mamlaka hayo kikatiba na kikanuni. Hivyo Kinachofanyika ni Ukora na ni Ultra vires Act kabisa. Ni muendelezo wa uvunjaji wa katiba na Sheria za Nchi. Kwa mazingira hayo Slsisi wananchi Tutaandika Katiba yetu wenyewe inayotokana na maoni yetu kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Hiyo wanayo kwenda kuifanya kwa jina sijui la minimum ammendment ni yao na chawa wao na haina ridhaa ya Bunge.

Tume Huru na Katiba Huru vitatengenezwa na Watanzania wenyewe kupitia sheria husika na ushiriki wa pamoja ulio huru, wazi na Jumuishi. Huu Ukora ulaaniwe na kukataliwa.

2. Katika zile siku 30 tulizowapa serikali kutekeleza matakwa ya wananchi kuhusu IGA na katiba kwasasa zimebaki siku 25 ili Kabla ya kupanga tarehe ya maandamano. Kwamba maandamano hayo yatahakikisha Ngorongoro na Ardhi yake inatambulika kuwa Ardhi ya Wamasai kama ardhi yao ya asili kwani siyo tu kuwa Maasai ni Indegenous Community (aboriginal) bali pia Ardhi ya mababu zao. Kwamba maisha, mila, uchumi na utamaduni wao umefungamana na ardhi ile na kuwaondoa katika eneo hili ni kutaka kuwafuta katika sura ya dunia kama ilivyotokea kwa wahindi wekundu kule Marekani.

Sambamba na hilo lengo kuu la maandamano ni kuhakikisha IGA inafutwa kwa ujumla wake na Bunge linafuta Azimio Lake la Kinazi na zaidi kwamba Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya vinapatikana watake wasitake kabla ya 2025.

3. Maandamano yanalenga kuhakikisha kuwa Mali za Zanzibar zinasimamiwa na wazanzibar kupitia Serikali yao, Raslimali za Asili za Tanganyika zinasimamiwa na Watanganyika Kupitia serikali yao na zile Mali ambazo ni za Muungano zitasimamiwa kwa pamoja chini ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano itakayoundwa kwa usawa na pande Mbili za Tanganyika na Zanzibar. Lengo ni kuwa Tanganyika inakuwa na Rais wake na Bunge lake na Zanzibar iwe na Bunge Lake na Rais wake na Serikali ya Muungano iwe na Rais wake na Bunge Lake.

4. Kukosekana ulinzi ,uwajibikaji na Matumizi Endelevu ya Raslimali za Asili za Watanganyika ni kwasababu tunazikabidhi na kuziweka kwenye Mikono ya Serikali ya Jamuhuri ya Muingano na wazanzibar wote hawana uchungu na Urithi wa Tanganyika .( Rejea Mkataba wa Kifisadi wa IGA)

Msingi wa hoja hii ni kwamba Kama ambavyo Mtanganyika hawezi simamia na kubinafsisha au kukodisha Mali za Wazanzibar hivyo hivyo Mzanzibar hawezi kuruhusiwa Kuuza au kukodisha Mali za watanganyika. Hizi ni nchi mbili tofauti na kila moja ina ardhi yake na Ardhi siyo suala la Muungano.

5. Teuzi nyingi zinafanywa kimkakati ili kuwadhibiti au kuwaondoa kabisa viongozi wenye angalau nakisi ya uadilifu na kuteuwa Manyapara au chawa wengi wao wakiwa watanganyika watakao simamia mikataba ya kizembe yenye athari hasi kwa Tanganyika kwasababu ya Bakuli la Dengu.

6. Kila Mwananchi na Mtanganyika aingie kwenye Maombi kujiandaa katika Kusudio hili la Maandamano ya Umma yatakayofanyika bila kikomo. Kwamba tutakapo kamilisha taratibu za kisheria na Kutangaza Maandamano wote tuwe tayari kusimama kuhesabaiwa ili kuvuka kwenda Nchi ya ahadi.

7. Tuache kabisa jitihada za kujifungamanisha katika vyama ni wakati wakuungana kama watanganyika na vyama vitumike tuu kama Njia ya kutufikisha katika lengo kuu la kuirejesha Tanganyika ili watoto watanganyika wapate haki ya kufaidi raslimali zao na kuzilinda kwa wivu na uzalendo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Kiongozi yeyote anayeona aibu kuitamka na kuitetea Tanganyika nasisi tuone aibu kushirikiana naye.

Hawa Viongozi mnao waona wakiwatesa, kuwatisha, kuwadhulumu, kuwapoka haki zenu, kuwasweka mahabusu Kama Mungu aishivyo hamtawaona tena na hawatakuwa na mahala pa kusimama na wala Mahali pao hapata onekana tena kwasababu Mungu amekwisha ondoa nafasi yao na kuwakataa kwasababu ya ushirikina wao uliokithiri.

Aluta Continua. Mapambano yanaendelea

BAK Mwabukusi
Shambani Busokelo.


View attachment 2745577
 
1. Msajili wa Vyama vya siasa wala Rais au serikali yake hawana Mamlaka ya kuamua au kutupangia kuhusu Katiba tunayo itaka. Hicho kigenge walichokiunda hakina Mamlaka hayo kikatiba na kikanuni. Hivyo Kinachofanyika ni Ukora na ni Ultra vires Act kabisa. Ni muendelezo wa uvunjaji wa katiba na Sheria za Nchi. Kwa mazingira hayo Slsisi wananchi Tutaandika Katiba yetu wenyewe inayotokana na maoni yetu kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Hiyo wanayo kwenda kuifanya kwa jina sijui la minimum ammendment ni yao na chawa wao na haina ridhaa ya Bunge.

Tume Huru na Katiba Huru vitatengenezwa na Watanzania wenyewe kupitia sheria husika na ushiriki wa pamoja ulio huru, wazi na Jumuishi. Huu Ukora ulaaniwe na kukataliwa.

2. Katika zile siku 30 tulizowapa serikali kutekeleza matakwa ya wananchi kuhusu IGA na katiba kwasasa zimebaki siku 25 ili Kabla ya kupanga tarehe ya maandamano. Kwamba maandamano hayo yatahakikisha Ngorongoro na Ardhi yake inatambulika kuwa Ardhi ya Wamasai kama ardhi yao ya asili kwani siyo tu kuwa Maasai ni Indegenous Community (aboriginal) bali pia Ardhi ya mababu zao. Kwamba maisha, mila, uchumi na utamaduni wao umefungamana na ardhi ile na kuwaondoa katika eneo hili ni kutaka kuwafuta katika sura ya dunia kama ilivyotokea kwa wahindi wekundu kule Marekani.

Sambamba na hilo lengo kuu la maandamano ni kuhakikisha IGA inafutwa kwa ujumla wake na Bunge linafuta Azimio Lake la Kinazi na zaidi kwamba Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya vinapatikana watake wasitake kabla ya 2025.

3. Maandamano yanalenga kuhakikisha kuwa Mali za Zanzibar zinasimamiwa na wazanzibar kupitia Serikali yao, Raslimali za Asili za Tanganyika zinasimamiwa na Watanganyika Kupitia serikali yao na zile Mali ambazo ni za Muungano zitasimamiwa kwa pamoja chini ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano itakayoundwa kwa usawa na pande Mbili za Tanganyika na Zanzibar. Lengo ni kuwa Tanganyika inakuwa na Rais wake na Bunge lake na Zanzibar iwe na Bunge Lake na Rais wake na Serikali ya Muungano iwe na Rais wake na Bunge Lake.

4. Kukosekana ulinzi ,uwajibikaji na Matumizi Endelevu ya Raslimali za Asili za Watanganyika ni kwasababu tunazikabidhi na kuziweka kwenye Mikono ya Serikali ya Jamuhuri ya Muingano na wazanzibar wote hawana uchungu na Urithi wa Tanganyika .( Rejea Mkataba wa Kifisadi wa IGA)

Msingi wa hoja hii ni kwamba Kama ambavyo Mtanganyika hawezi simamia na kubinafsisha au kukodisha Mali za Wazanzibar hivyo hivyo Mzanzibar hawezi kuruhusiwa Kuuza au kukodisha Mali za watanganyika. Hizi ni nchi mbili tofauti na kila moja ina ardhi yake na Ardhi siyo suala la Muungano.

5. Teuzi nyingi zinafanywa kimkakati ili kuwadhibiti au kuwaondoa kabisa viongozi wenye angalau nakisi ya uadilifu na kuteuwa Manyapara au chawa wengi wao wakiwa watanganyika watakao simamia mikataba ya kizembe yenye athari hasi kwa Tanganyika kwasababu ya Bakuli la Dengu.

6. Kila Mwananchi na Mtanganyika aingie kwenye Maombi kujiandaa katika Kusudio hili la Maandamano ya Umma yatakayofanyika bila kikomo. Kwamba tutakapo kamilisha taratibu za kisheria na Kutangaza Maandamano wote tuwe tayari kusimama kuhesabaiwa ili kuvuka kwenda Nchi ya ahadi.

7. Tuache kabisa jitihada za kujifungamanisha katika vyama ni wakati wakuungana kama watanganyika na vyama vitumike tuu kama Njia ya kutufikisha katika lengo kuu la kuirejesha Tanganyika ili watoto watanganyika wapate haki ya kufaidi raslimali zao na kuzilinda kwa wivu na uzalendo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Kiongozi yeyote anayeona aibu kuitamka na kuitetea Tanganyika nasisi tuone aibu kushirikiana naye.

Hawa Viongozi mnao waona wakiwatesa, kuwatisha, kuwadhulumu, kuwapoka haki zenu, kuwasweka mahabusu Kama Mungu aishivyo hamtawaona tena na hawatakuwa na mahala pa kusimama na wala Mahali pao hapata onekana tena kwasababu Mungu amekwisha ondoa nafasi yao na kuwakataa kwasababu ya ushirikina wao uliokithiri.

Aluta Continua. Mapambano yanaendelea

BAK Mwabukusi
Shambani Busokelo.


View attachment 2745577
Mtaandamana wenyewe
 
Anza kwanza mwenyewe mkuu wakikufinya kende ndo utaelewa we jichanganye😁😁😁😁😁
Soma historia ya Biblia pengine inaweza kubadili namna yako ya kufikiri na kiyatazama maswala..

==============================================
Kut 14:1‭-‬31 SUV

BWANA akasema na Musa, akamwambia, "...Waambie wana wa Israeli, kwamba warudi na kupiga kambi yao mbele ya Pi-hahirothi, kati ya Migdoli na bahari, kukabili Baal-sefoni; mtapanga mbele yake karibu na bahari. Naye Farao atasema katika habari za wana wa Israeli, Wametatanishwa katika nchi, ile jangwa imewazuia wasitoke. Nami nitaufanya uwe mgumu moyo wa Farao, naye atafuata nyuma yao; nami nitajipatia utukufu kwa Farao, na kwa jeshi lake lote; na Wamisri watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.."

Basi wakafanya hivyo. Mfalme wa Misri aliambiwa ya kuwa wale watu wamekwisha kimbia; na moyo wa Farao, na mioyo ya watumishi wake, iligeuzwa iwe kinyume cha hao watu, nao wakasema, Ni nini jambo hili tulilotenda, kwa kuwaacha Waisraeli waende zao wasitutumikie tena? Akaandalia gari lake, akawachukua watu wake pamoja naye; tena akatwaa magari mia sita yaliyochaguliwa, na magari yote ya Wamisri, na maakida juu ya magari hayo yote. Na BWANA akaufanya moyo wake Farao mfalme wa Misri kuwa mgumu, naye akawafuata wana wa Israeli; kwa sababu wana wa Israeli walitoka kwa ujeuri. Wamisri wakafuata nyuma yao, farasi zote na magari yote ya Farao, na askari zake wenye kupanda farasi, na jeshi lake, nao wakawapata hali wamepanga pale karibu na bahari, karibu na Pi-hahirothi, kukabili Baal-sefoni.

Hata Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakainua macho yao, na tazama, Wamisri wanakuja nyuma yao; wakaogopa sana; wana wa Israeli wakamlilia BWANA. Wakamwambia Musa, "..Je! Kwa sababu hapakuwa na makaburi katika Misri umetutoa huko ili tufe jangwani? Mbona umetutendea haya, kututoa katika nchi ya Misri? Neno hili silo tulilokuambia huko Misri, tukisema, Tuache tuwatumikie Wamisri? Maana ni afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani."

Musa akawaambia watu, "..Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele. BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.."

BWANA akamwambia Musa, "Mbona unanililia mimi? Waambie wana wa Israeli waendelee mbele. Nawe inua fimbo yako, ukanyoshe mkono wako juu ya bahari, na kuigawanya; nao wana wa Israeli watapita kati ya bahari katika nchi kavu. Nami, tazama, nitaifanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu, nao wataingia na kuwafuatia, nami nitajipatia utukufu kwa Farao, na kwa jeshi lake lote, kwa magari yake na kwa wapanda farasi wake. Na Wamisri watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, nitakapokwisha kujipatia utukufu kwa Farao, na magari yake, na farasi zake..."

Kisha malaika wa Mungu, aliyetangulia mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akaenda nyuma yao; na ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao, ikasimama nyuma yao; ikafika kati ya jeshi la Misri na jeshi la Israeli; napo palikuwa na lile wingu na lile giza, lakini lilitoa nuru wakati wa usiku; na hawa hawakuwakaribia hawa usiku kucha. Musa; akanyosha mkono wake juu ya bahari; BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki, usiku kucha, akaifanya bahari kuwa nchi kavu, maji yakagawanyika. Wana wa Israeli wakaenda ndani kati ya bahari katika nchi kavu; nayo maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kuume, na mkono wa kushoto.

Na wale Wamisri wakawafuatia, wakaingia ndani kati ya bahari, farasi zote za Farao, na magari yake, na wapanda farasi wake. Ikawa katika zamu ya alfajiri, BWANA akalichungulia jeshi la Wamisri katika ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha jeshi la Wamisri. Akayaondoa magurudumu ya magari yao, hata yakaenda kwa uzito; na Wamisri wakasema, Na tukimbie mbele ya Israeli; kwa kuwa BWANA anawapigania, kinyume cha Wamisri.

BWANA akamwambia Musa, "Nyosha mkono wako juu ya bahari, ili maji yarudi tena juu ya Wamisri, juu ya magari yao, na juu ya farasi zao."

Musa akaunyosha mkono wake juu ya bahari, na kulipopambazuka, bahari ikarudi kwa nguvu zake; Wamisri wakakimbia mbele yake; na BWANA akawakukutia mbali hao Wamisri kati ya bahari. Yale maji yakarudi yakafunikiza magari na wapanda farasi, hata jeshi lote la Farao lililoingia katika bahari nyuma yao; hakusalia hata mtu mmoja.

Lakini wana wa Israeli wakaenda katika nchi kavu katikati ya bahari; na hayo maji yalikuwa ni kuta upande wao wa kuume, na upande wao wa kushoto. Ndivyo BWANA alivyowaokoa Israeli siku ile mikononi mwa Wamisri; Waisraeli wakawaona Wamisri ufuoni kwa bahari, wamekufa. Israeli akaiona ile kazi kubwa aliyoifanya BWANA juu ya Wamisri, ndipo hao watu wakamcha BWANA, wakamwamini BWANA, na Musa mtumishi wake.
===============================================
Ndugu@Charles kilian hivi ndivyo Bwana Mungu na baba yetu anavyoweza kuokoa watu wake.

Yaani huwa ni kama utani au masihara fulani hivi huku watu wasiomini na wenye kebehi kama wewe wakiwa pembeni wakidhani wenzao wanaoamini ktk matendo makuu ya Mungu ni wehu au wamechanganyikowa.!!

Wengi walikuwa hawamwelewi Musa kabisa kama ambavyo Leo watu hawawaelewi watu kama Mdude Nyangali au Boniface Mwambukusi au Mch. Mbarikiwa Mwakipesile...

Lakini ukombozi
ulipotokeza tu huku matesaji na maadui za Mungu walipoangamizwa, hatimaye watu kama wewe Charles kilian mwisho wa siku mtamtukuza kumuamini Mungu na Mdude Nyangali au Boniface Mwambukusi au Mch. Mbarikiwa Mwakipesile na itashuhudiwa kwa kusema;

"....Ndivyo BWANA alivyowaokoa Israeli Tanganyika] siku ile mikononi mwa Wamisri [wakora wa CCM]; Waisraeli [Watanganyika] wakawaona Wamisri [ma - CCM] ufuoni kwa bahari, wamekufa. Israeli [Tanganyika] akaiona ile kazi kubwa aliyoifanya BWANA juu ya Wamisri [CCM], ndipo hao watu wakamcha BWANA, wakamwamini BWANA, na Musa [Tundu Lissu, Mdude Nyangali, Boniface Mwambukusi na Mbarikiwa Mwakipesile] watumishi wake..."
 
Asante sana kwa neno la mungu akubariki sana
Soma historia ya Biblia pengine inaweza kubadili namna yako ya kufikiri na kiyatazama maswala..

Kut 14:1‭-‬31 SUV

BWANA akasema na Musa, akamwambia, "...Waambie wana wa Israeli, kwamba warudi na kupiga kambi yao mbele ya Pi-hahirothi, kati ya Migdoli na bahari, kukabili Baal-sefoni; mtapanga mbele yake karibu na bahari. Naye Farao atasema katika habari za wana wa Israeli, Wametatanishwa katika nchi, ile jangwa imewazuia wasitoke. Nami nitaufanya uwe mgumu moyo wa Farao, naye atafuata nyuma yao; nami nitajipatia utukufu kwa Farao, na kwa jeshi lake lote; na Wamisri watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.."

Basi wakafanya hivyo. Mfalme wa Misri aliambiwa ya kuwa wale watu wamekwisha kimbia; na moyo wa Farao, na mioyo ya watumishi wake, iligeuzwa iwe kinyume cha hao watu, nao wakasema, Ni nini jambo hili tulilotenda, kwa kuwaacha Waisraeli waende zao wasitutumikie tena? Akaandalia gari lake, akawachukua watu wake pamoja naye; tena akatwaa magari mia sita yaliyochaguliwa, na magari yote ya Wamisri, na maakida juu ya magari hayo yote. Na BWANA akaufanya moyo wake Farao mfalme wa Misri kuwa mgumu, naye akawafuata wana wa Israeli; kwa sababu wana wa Israeli walitoka kwa ujeuri. Wamisri wakafuata nyuma yao, farasi zote na magari yote ya Farao, na askari zake wenye kupanda farasi, na jeshi lake, nao wakawapata hali wamepanga pale karibu na bahari, karibu na Pi-hahirothi, kukabili Baal-sefoni.

Hata Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakainua macho yao, na tazama, Wamisri wanakuja nyuma yao; wakaogopa sana; wana wa Israeli wakamlilia BWANA. Wakamwambia Musa, "..Je! Kwa sababu hapakuwa na makaburi katika Misri umetutoa huko ili tufe jangwani? Mbona umetutendea haya, kututoa katika nchi ya Misri? Neno hili silo tulilokuambia huko Misri, tukisema, Tuache tuwatumikie Wamisri? Maana ni afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani."

Musa akawaambia watu, "..Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele. BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.."

BWANA akamwambia Musa, "Mbona unanililia mimi? Waambie wana wa Israeli waendelee mbele. Nawe inua fimbo yako, ukanyoshe mkono wako juu ya bahari, na kuigawanya; nao wana wa Israeli watapita kati ya bahari katika nchi kavu. Nami, tazama, nitaifanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu, nao wataingia na kuwafuatia, nami nitajipatia utukufu kwa Farao, na kwa jeshi lake lote, kwa magari yake na kwa wapanda farasi wake. Na Wamisri watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, nitakapokwisha kujipatia utukufu kwa Farao, na magari yake, na farasi zake..."

Kisha malaika wa Mungu, aliyetangulia mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akaenda nyuma yao; na ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao, ikasimama nyuma yao; ikafika kati ya jeshi la Misri na jeshi la Israeli; napo palikuwa na lile wingu na lile giza, lakini lilitoa nuru wakati wa usiku; na hawa hawakuwakaribia hawa usiku kucha. Musa; akanyosha mkono wake juu ya bahari; BWANA akaifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wa nguvu utokao mashariki, usiku kucha, akaifanya bahari kuwa nchi kavu, maji yakagawanyika. Wana wa Israeli wakaenda ndani kati ya bahari katika nchi kavu; nayo maji yalikuwa ukuta kwao mkono wa kuume, na mkono wa kushoto.

Na wale Wamisri wakawafuatia, wakaingia ndani kati ya bahari, farasi zote za Farao, na magari yake, na wapanda farasi wake. Ikawa katika zamu ya alfajiri, BWANA akalichungulia jeshi la Wamisri katika ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha jeshi la Wamisri. Akayaondoa magurudumu ya magari yao, hata yakaenda kwa uzito; na Wamisri wakasema, Na tukimbie mbele ya Israeli; kwa kuwa BWANA anawapigania, kinyume cha Wamisri.

BWANA akamwambia Musa, "Nyosha mkono wako juu ya bahari, ili maji yarudi tena juu ya Wamisri, juu ya magari yao, na juu ya farasi zao."

Musa akaunyosha mkono wake juu ya bahari, na kulipopambazuka, bahari ikarudi kwa nguvu zake; Wamisri wakakimbia mbele yake; na BWANA akawakukutia mbali hao Wamisri kati ya bahari. Yale maji yakarudi yakafunikiza magari na wapanda farasi, hata jeshi lote la Farao lililoingia katika bahari nyuma yao; hakusalia hata mtu mmoja.

Lakini wana wa Israeli wakaenda katika nchi kavu katikati ya bahari; na hayo maji yalikuwa ni kuta upande wao wa kuume, na upande wao wa kushoto. Ndivyo BWANA alivyowaokoa Israeli siku ile mikononi mwa Wamisri; Waisraeli wakawaona Wamisri ufuoni kwa bahari, wamekufa. Israeli akaiona ile kazi kubwa aliyoifanya BWANA juu ya Wamisri, ndipo hao watu wakamcha BWANA, wakamwamini BWANA, na Musa mtumishi wake.

Ndugu@Charles kilian hivi ndivyo Bwana Mungu na baba yetu anavyoweza kuokoa watu wake.

Yaani huwa ni kama utani au masihara fulani hivi huku watu wasiomini na wenye kebehi kama wewe wakiwa pembeni wakidhani wenzao wanaoamini ktk matendo makuu ya Mungu ni wehu au wamechanganyikowa.!!

Wengi walikuwa hawamwelewi Musa kabisa kama ambavyo Leo watu hawawaelewi watu kama Mdude Nyangali au Boniface Mwambukusi au Mch. Mbarikiwa Mwakipesile...

Lakini ukombozi
ulipotokeza tu huku matesaji na maadui za Mungu walipoangamizwa, hatimaye watu kama wewe Charles kilian mwisho wa siku mtamtukuza kumuamini Mungu na Mdude Nyangali au Boniface Mwambukusi au Mch. Mbarikiwa Mwakipesile na itashuhudiwa kwa kusema;

"....Ndivyo BWANA alivyowaokoa Israeli Tanganyika] siku ile mikononi mwa Wamisri [wakora wa CCM]; Waisraeli [Watanganyika] wakawaona Wamisri [ma - CCM] ufuoni kwa bahari, wamekufa. Israeli [Tanganyika] akaiona ile kazi kubwa aliyoifanya BWANA juu ya Wamisri [CCM], ndipo hao watu wakamcha BWANA, wakamwamini BWANA, na Musa [Tundu Lissu, Mdude Nyangali, Boniface Mwambukusi na Mbarikiwa Mwakipesile] watumishi wake..."
 
1. Msajili wa Vyama vya siasa wala Rais au serikali yake hawana Mamlaka ya kuamua au kutupangia kuhusu Katiba tunayo itaka. Hicho kigenge walichokiunda hakina Mamlaka hayo kikatiba na kikanuni. Hivyo Kinachofanyika ni Ukora na ni Ultra vires Act kabisa. Ni muendelezo wa uvunjaji wa katiba na Sheria za Nchi. Kwa mazingira hayo Slsisi wananchi Tutaandika Katiba yetu wenyewe inayotokana na maoni yetu kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Hiyo wanayo kwenda kuifanya kwa jina sijui la minimum ammendment ni yao na chawa wao na haina ridhaa ya Bunge.

Tume Huru na Katiba Huru vitatengenezwa na Watanzania wenyewe kupitia sheria husika na ushiriki wa pamoja ulio huru, wazi na Jumuishi. Huu Ukora ulaaniwe na kukataliwa.

2. Katika zile siku 30 tulizowapa serikali kutekeleza matakwa ya wananchi kuhusu IGA na katiba kwasasa zimebaki siku 25 ili Kabla ya kupanga tarehe ya maandamano. Kwamba maandamano hayo yatahakikisha Ngorongoro na Ardhi yake inatambulika kuwa Ardhi ya Wamasai kama ardhi yao ya asili kwani siyo tu kuwa Maasai ni Indegenous Community (aboriginal) bali pia Ardhi ya mababu zao. Kwamba maisha, mila, uchumi na utamaduni wao umefungamana na ardhi ile na kuwaondoa katika eneo hili ni kutaka kuwafuta katika sura ya dunia kama ilivyotokea kwa wahindi wekundu kule Marekani.

Sambamba na hilo lengo kuu la maandamano ni kuhakikisha IGA inafutwa kwa ujumla wake na Bunge linafuta Azimio Lake la Kinazi na zaidi kwamba Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya vinapatikana watake wasitake kabla ya 2025.

3. Maandamano yanalenga kuhakikisha kuwa Mali za Zanzibar zinasimamiwa na wazanzibar kupitia Serikali yao, Raslimali za Asili za Tanganyika zinasimamiwa na Watanganyika Kupitia serikali yao na zile Mali ambazo ni za Muungano zitasimamiwa kwa pamoja chini ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano itakayoundwa kwa usawa na pande Mbili za Tanganyika na Zanzibar. Lengo ni kuwa Tanganyika inakuwa na Rais wake na Bunge lake na Zanzibar iwe na Bunge Lake na Rais wake na Serikali ya Muungano iwe na Rais wake na Bunge Lake.

4. Kukosekana ulinzi ,uwajibikaji na Matumizi Endelevu ya Raslimali za Asili za Watanganyika ni kwasababu tunazikabidhi na kuziweka kwenye Mikono ya Serikali ya Jamuhuri ya Muingano na wazanzibar wote hawana uchungu na Urithi wa Tanganyika .( Rejea Mkataba wa Kifisadi wa IGA)

Msingi wa hoja hii ni kwamba Kama ambavyo Mtanganyika hawezi simamia na kubinafsisha au kukodisha Mali za Wazanzibar hivyo hivyo Mzanzibar hawezi kuruhusiwa Kuuza au kukodisha Mali za watanganyika. Hizi ni nchi mbili tofauti na kila moja ina ardhi yake na Ardhi siyo suala la Muungano.

5. Teuzi nyingi zinafanywa kimkakati ili kuwadhibiti au kuwaondoa kabisa viongozi wenye angalau nakisi ya uadilifu na kuteuwa Manyapara au chawa wengi wao wakiwa watanganyika watakao simamia mikataba ya kizembe yenye athari hasi kwa Tanganyika kwasababu ya Bakuli la Dengu.

6. Kila Mwananchi na Mtanganyika aingie kwenye Maombi kujiandaa katika Kusudio hili la Maandamano ya Umma yatakayofanyika bila kikomo. Kwamba tutakapo kamilisha taratibu za kisheria na Kutangaza Maandamano wote tuwe tayari kusimama kuhesabaiwa ili kuvuka kwenda Nchi ya ahadi.

7. Tuache kabisa jitihada za kujifungamanisha katika vyama ni wakati wakuungana kama watanganyika na vyama vitumike tuu kama Njia ya kutufikisha katika lengo kuu la kuirejesha Tanganyika ili watoto watanganyika wapate haki ya kufaidi raslimali zao na kuzilinda kwa wivu na uzalendo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Kiongozi yeyote anayeona aibu kuitamka na kuitetea Tanganyika nasisi tuone aibu kushirikiana naye.

Hawa Viongozi mnao waona wakiwatesa, kuwatisha, kuwadhulumu, kuwapoka haki zenu, kuwasweka mahabusu Kama Mungu aishivyo hamtawaona tena na hawatakuwa na mahala pa kusimama na wala Mahali pao hapata onekana tena kwasababu Mungu amekwisha ondoa nafasi yao na kuwakataa kwasababu ya ushirikina wao uliokithiri.

Aluta Continua. Mapambano yanaendelea

BAK Mwabukusi
Shambani Busokelo.


View attachment 2745577
Rais ni mshamba tu yaani nashindwa kuelewa CCM kwa nn inafel muda mwingi.Rais anasimama na hakui aongee nn,Hv leo hii unawatukana watu kwamba hawaelewi chochote kuhusu nn kiingie kwenye katiba yetu,Kwa kweli lzm tukubali kwamba Rais hatuna.
 
Habar kamanda[emoji137]
Katika andiko hili Jambo la nane ni kuhusu maswala ya ajira ...wa Tanganyika huwa Hawaruhusiwi kuomba ajira za serikalini Zanzibar wakati wa zanzibar wao wanaruhusiwa kuomba ajira huku bara ...Zanzibar wakitangaza kazi wanaweka kigezo Cha kwamba lazima uwe na kitambulisho Cha mzanzibari mkazi, wakijua wazi mtanganyika hawez kuwa nacho ...wakati wao wakija huku wanaomba tu bila masharti yoyote .
[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Maandamano yanalenga kuhakikisha kuwa Mali za Zanzibar zinasimamiwa na wazanzibar kupitia Serikali yao, Raslimali za Asili za Tanganyika zinasimamiwa na Watanganyika Kupitia serikali yao na zile Mali ambazo ni za Muungano zitasimamiwa kwa pamoja chini ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano itakayoundwa kwa usawa na pande Mbili za Tanganyika na Zanzibar. Lengo ni kuwa Tanganyika inakuwa na Rais wake na Bunge lake na Zanzibar iwe na Bunge Lake na Rais wake na Serikali ya Muungano iwe na Rais wake na Bunge Lake.
Hapa umenena. Mungu akupe ujasiri uongoze hayo maandamano ili kila mmoja afaidi urithi alioachiwa na Mungu, muumba wa wote.
Kukosekana ulinzi ,uwajibikaji na Matumizi Endelevu ya Raslimali za Asili za Watanganyika ni kwasababu tunazikabidhi na kuziweka kwenye Mikono ya Serikali ya Jamuhuri ya Muingano na wazanzibar wote hawana uchungu na Urithi wa Tanganyika .( Rejea Mkataba wa Kifisadi wa IGA)
Hapa umelikoroga. kwani ni nani aliyesema mali za Tanganyika zitakuwa za JMT kama si Nyerere. Yeye ni Mzanzibari? Wenye uchungu ni Watanganyika kwa vile huu ni urithi wao. Akija Mzanzibari anakuja kama Mtanzania mwenye haki na hadhi sawa na Mtanganyika ktk JMT.

Nakazia: Ni wakati sasa akina Mdude tuwaone kwenye hayo maandamano badala ya kupiga domo tu.

Tunasubiri kuwaona barabarani na mitaani ili tuungane nao. Kinyume na hivyo, nikumbushe tu kuwa kelele za mlangoni hazimzuii mwenye nyumba kulala.
 
Habar kamanda[emoji137]
Katika andiko hili Jambo la nane ni kuhusu maswala ya ajira ...wa Tanganyika huwa Hawaruhusiwi kuomba ajira za serikalini Zanzibar wakati wa zanzibar wao wanaruhusiwa kuomba ajira huku bara ...Zanzibar wakitangaza kazi wanaweka kigezo Cha kwamba lazima uwe na kitambulisho Cha mzanzibari mkazi, wakijua wazi mtanganyika hawez kuwa nacho ...wakati wao wakija huku wanaomba tu bila masharti yoyote .
[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Katafute kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi, wacha kulialia kama mtoto ndogo.

Ajira za Tanzania zinatolewa pia kwa kitambulisho cha Mtanzania. Jee nako kuna ubaguzi? Kama hakuna kwanini iwe nongwa kwa Zanzibar?
 
1. Msajili wa Vyama vya siasa wala Rais au serikali yake hawana Mamlaka ya kuamua au kutupangia kuhusu Katiba tunayo itaka. Hicho kigenge walichokiunda hakina Mamlaka hayo kikatiba na kikanuni. Hivyo Kinachofanyika ni Ukora na ni Ultra vires Act kabisa. Ni muendelezo wa uvunjaji wa katiba na Sheria za Nchi. Kwa mazingira hayo Slsisi wananchi Tutaandika Katiba yetu wenyewe inayotokana na maoni yetu kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Hiyo wanayo kwenda kuifanya kwa jina sijui la minimum ammendment ni yao na chawa wao na haina ridhaa ya Bunge.

Tume Huru na Katiba Huru vitatengenezwa na Watanzania wenyewe kupitia sheria husika na ushiriki wa pamoja ulio huru, wazi na Jumuishi. Huu Ukora ulaaniwe na kukataliwa.

2. Katika zile siku 30 tulizowapa serikali kutekeleza matakwa ya wananchi kuhusu IGA na katiba kwasasa zimebaki siku 25 ili Kabla ya kupanga tarehe ya maandamano. Kwamba maandamano hayo yatahakikisha Ngorongoro na Ardhi yake inatambulika kuwa Ardhi ya Wamasai kama ardhi yao ya asili kwani siyo tu kuwa Maasai ni Indegenous Community (aboriginal) bali pia Ardhi ya mababu zao. Kwamba maisha, mila, uchumi na utamaduni wao umefungamana na ardhi ile na kuwaondoa katika eneo hili ni kutaka kuwafuta katika sura ya dunia kama ilivyotokea kwa wahindi wekundu kule Marekani.

Sambamba na hilo lengo kuu la maandamano ni kuhakikisha IGA inafutwa kwa ujumla wake na Bunge linafuta Azimio Lake la Kinazi na zaidi kwamba Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya vinapatikana watake wasitake kabla ya 2025.

3. Maandamano yanalenga kuhakikisha kuwa Mali za Zanzibar zinasimamiwa na wazanzibar kupitia Serikali yao, Raslimali za Asili za Tanganyika zinasimamiwa na Watanganyika Kupitia serikali yao na zile Mali ambazo ni za Muungano zitasimamiwa kwa pamoja chini ya serikali ya Jamuhuri ya Muungano itakayoundwa kwa usawa na pande Mbili za Tanganyika na Zanzibar. Lengo ni kuwa Tanganyika inakuwa na Rais wake na Bunge lake na Zanzibar iwe na Bunge Lake na Rais wake na Serikali ya Muungano iwe na Rais wake na Bunge Lake.

4. Kukosekana ulinzi ,uwajibikaji na Matumizi Endelevu ya Raslimali za Asili za Watanganyika ni kwasababu tunazikabidhi na kuziweka kwenye Mikono ya Serikali ya Jamuhuri ya Muingano na wazanzibar wote hawana uchungu na Urithi wa Tanganyika .( Rejea Mkataba wa Kifisadi wa IGA)

Msingi wa hoja hii ni kwamba Kama ambavyo Mtanganyika hawezi simamia na kubinafsisha au kukodisha Mali za Wazanzibar hivyo hivyo Mzanzibar hawezi kuruhusiwa Kuuza au kukodisha Mali za watanganyika. Hizi ni nchi mbili tofauti na kila moja ina ardhi yake na Ardhi siyo suala la Muungano.

5. Teuzi nyingi zinafanywa kimkakati ili kuwadhibiti au kuwaondoa kabisa viongozi wenye angalau nakisi ya uadilifu na kuteuwa Manyapara au chawa wengi wao wakiwa watanganyika watakao simamia mikataba ya kizembe yenye athari hasi kwa Tanganyika kwasababu ya Bakuli la Dengu.

6. Kila Mwananchi na Mtanganyika aingie kwenye Maombi kujiandaa katika Kusudio hili la Maandamano ya Umma yatakayofanyika bila kikomo. Kwamba tutakapo kamilisha taratibu za kisheria na Kutangaza Maandamano wote tuwe tayari kusimama kuhesabaiwa ili kuvuka kwenda Nchi ya ahadi.

7. Tuache kabisa jitihada za kujifungamanisha katika vyama ni wakati wakuungana kama watanganyika na vyama vitumike tuu kama Njia ya kutufikisha katika lengo kuu la kuirejesha Tanganyika ili watoto watanganyika wapate haki ya kufaidi raslimali zao na kuzilinda kwa wivu na uzalendo kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Kiongozi yeyote anayeona aibu kuitamka na kuitetea Tanganyika nasisi tuone aibu kushirikiana naye.

Hawa Viongozi mnao waona wakiwatesa, kuwatisha, kuwadhulumu, kuwapoka haki zenu, kuwasweka mahabusu Kama Mungu aishivyo hamtawaona tena na hawatakuwa na mahala pa kusimama na wala Mahali pao hapata onekana tena kwasababu Mungu amekwisha ondoa nafasi yao na kuwakataa kwasababu ya ushirikina wao uliokithiri.

Aluta Continua. Mapambano yanaendelea

BAK Mwabukusi
Shambani Busokelo.


View attachment 2745577
Hivi kweli mkuu utakua front line ukiandamana!!?

Ngoja tuone!!
 
Kukosekana ulinzi ,uwajibikaji na Matumizi Endelevu ya Raslimali za Asili za Watanganyika ni kwasababu tunazikabidhi na kuziweka kwenye Mikono ya Serikali ya Jamuhuri ya muungano na wazanzibar wote hawana uchungu na Urithi wa Tanganyika
 
Kwamba tutakapo kamilisha taratibu za kisheria na Kutangaza Maandamano wote tuwe tayari kusimama kuhesabaiwa ili kuvuka kwenda Nchi ya ahadi.
 
hamna lolote nyie, mbona wakati wa magufuli mlitulizana, kama sio woga ni kitu gani. Uzuri wa hii nchi haijalishi Rais ni nani, kwenye maswala ya kipigo mtakipata tu. Mnamuona Samia dhaifu lakini ni strong kuliko hata Magufuli, anawapa muda tu mzidi kuropoka
Umeshashindwa wewe,Magufuli yupo sasa?Mbona Mdude yupo.
 
Tangu nchi ipate uhuru wake hajawahi kutokea kijana wa hovyo kama huyu.
 
Back
Top Bottom