Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #21
Hizo zote ni mentality tulizo kuzwa nazo,usilie mbele za watu,lia ukiwa faragha ni ponyo toshaMwanaume ukiwa mtu wa kulia lia unaanza kuonekana sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo zote ni mentality tulizo kuzwa nazo,usilie mbele za watu,lia ukiwa faragha ni ponyo toshaMwanaume ukiwa mtu wa kulia lia unaanza kuonekana sio
Noted
Hiyo namba mbili siweziMosi,wanaanza kukumiss pale wanapokosa mtu mbadala wa kuchukua nafasi yako
View attachment 3146864
pili, hauwezi kuwa imara siku zote,kuna siku huwa na uzuni na upweke pia,kwahiyo usiogope kulia,lia na utoe huzuni moyoni mwako
Tatu,hakuna mtu ambaye yupo bize kwa mtu ampendae,itategemea umewekwa namba ngapi kwa umuhimu katika listi
Nne, unajifunza zaidi kupitia makosa kuliko mafanikio
Tano, mtu ambaye unatumia mda mwingi kuwa nae ni wewe mwenyewe,kwahiyo jitahidi uwe mtu bora zaidi na mwenye furaha
Ni hayo tu!
mkuu lia basi wewe ili uishi muda mrefu!Na ndio maana tunakufa mapema,sio kila tuliyo ambiwa zamani tuyafuate,nasi pia ni binadamu
hivyo ulitaka jana yanga tuanze kuangua kilio..?Hizo zote ni mentality tulizo kuzwa nazo,usilie mbele za watu,lia ukiwa faragha ni ponyo tosha
Sanaa tu😂😂hivyo ulitaka jana yanga tuanze kuangua kilio..?
jinga kweli wewe lia mwenyewe tukikuona unalia tunajua nini chakukufanya!Sanaa tu😂😂
Bado utabakia kuwa mwanaume,ila lia faragha legendHiyo namba mbili siwezi
TABORA UNITED ndio wabaya wenujinga kweli wewe lia mwenyewe tukikuona unalia tunajua nini chakukufanya!
lkn sio simba!TABORA UNITED ndio wabaya wenu
Itabidi muanzishe dabi ya tatu sasa na nyuki wa Tabora😂😂lkn sio simba!
Watu wakikufuma unalia ni aibuBado utabakia kuwa mwanaume,ila lia faragha legend
Malegend tunalia tukiwa faraghaWatu wakikufuma unalia ni aibu
No 5 nzuri sanaMosi,wanaanza kukumiss pale wanapokosa mtu mbadala wa kuchukua nafasi yako
View attachment 3146864
pili, hauwezi kuwa imara siku zote,kuna siku huwa na uzuni na upweke pia,kwahiyo usiogope kulia,lia na utoe huzuni moyoni mwako
Tatu,hakuna mtu ambaye yupo bize kwa mtu ampendae,itategemea umewekwa namba ngapi kwa umuhimu katika listi
Nne, unajifunza zaidi kupitia makosa kuliko mafanikio
Tano, mtu ambaye unatumia mda mwingi kuwa nae ni wewe mwenyewe,kwahiyo jitahidi uwe mtu bora zaidi na mwenye furaha
Ni hayo tu!
usijali tutaanzishaItabidi muanzishe dabi ya tatu sasa na nyuki wa Tabora😂😂
Machozi yanaondoa uchungu na maumivu ambayo yangesababisha madhara ktk mwili.Na ndio maana tunakufa mapema,sio kila tuliyo ambiwa zamani tuyafuate,nasi pia ni binadamu