Mambo tata kuhusu NASA na safari ya mwezini: Ni kweli Neil Armstrong alisilimu baada ya kusikia Adhana mwezini?

US hawawezi kudanganya kuhusu kutua Mars au popote angani bila kubainiwa na Russia na China. Labda kama unaamini US wana pesa ya kuzihonga nchi hizo.
Je ikiwa ni syndicate ya watu wachache kuwajengea hofu wengi!? Kujidhihirisha ukubwa na ubora kwa kuonekana kufanikisha yale yasiyowezekana!?

Huwa naupenda mfano wa Nuclear Tech.. jinsi inavyokuwa ya kikundi fulani tuu... Ukijaribu lazima usongwesongwe na madhila mpk ukome. Ukiwa mbishi kama Uchina unatoboa na ww unakaa mezani unaanza kucheza karata za kikubwa
 
Sahihi🤝
 
Sidhani kama , uko sahihi
 
Hapa umenifungua kitu kingine inawezekana pia ulikuwa muingiliano wa soundwaves za Adhana huku duniani

Lakini je muingiliano wa sauti huwa na sauti thabiti isiyoyumba yumba?? rejelea kwenye makala hapo jibu alilojibu Neil...(kama ni kweli) ya kwamba sauti ile ilikuwa kali zaidi na Thabiti tofauti ya za miskiti aliyoziskia huku

Miingiliano ya Sauti haiwezi kuwa pure perfect rejelea Experiment ya nikola Tesla na muingiliano wa soundwaves kati ya watu nchi tofauti
 
1.Neil Armstrong hakuwahi kuwa Muislamu, hivyo vyanzo vyako taarifa ni kutoka vyombo vya udaku,kwa hapa bongo ungeweza kulinganisha na magazeti ya Shigongo.
2.UFO ni Unidentified Flying Object sio vyombo vya kigeni kutoka sayari nyingine. Ni vitu ambavyo huwa vinaonekana vikizunguka karibu na sayari ya dunia lakini lakini haviwezi kutambulika au kueleweka ni nini hasa, kuongelea kuna UFO nje huko mbali na dunia haina mashiko.
 
Watu wanatengeneza rumors hizi kwa ma celebreties au watu wakubwa wenye ushawishi kwa lengo la kuwa convince watu waifuate imani hiyo

Na kweli kwa kiasi flani wanafanikiwa, mfano jamaa yako Jurjani anaamini kuwa Jacques Cousteau alisilimu baada ya kushuhudia bahari mbili zilizokutana bila maji kuchangamana kwa dhana ya kwamba kuran ni kitabu cha mungu kweli kwasababu kimeandika habari hiyo

Licha ya kwamba jamaa alijitokeza kupinga hayo madai ya uzushi na mpaka anakufa alifanyiwa ibada za kikatoliki lakini Jurjan anabisha
 
Ndio hulka ya wana dini.
 
Swali linalo niumiza kichwa ni Hio flag kupepea wakati hapo hakuna hewa wala upepo je! iliwezekana vipi kupepea?
 
Dini yao ndivyo ilivyo bila kiki na u-al qaida haiendi mbele
 
Iyo safari ya mwezin pia ina utata mwing ikiwemo bendera kuonekana inapepea na huko hamna upepo na mengine kafhaa
 
HAKUNA KITU KINAWAUMIZA MAAMUMA KAMA MWANADAMU KUTUA KATIKA MWEZI TENA BILA KUVUA VIATU.MAAMUMA WAAAMINI MWENZI NI SEHEMU TAKATIFU.

NDIO MAANA HUWA WANAIBUKA NA CONSPIRACY THEORIES ZA AJABU AJABU
Nani kasema mwezi ni mtakatifu ,ukishindwa kutoa uthibitisho wapi imehubiriwa hii jua Wewe ni kilaza tuu
Labda unadhani kuna wanao tafuta mbadala wa Mungu Jua wa Sunday yule waMisri wa kale wakimwita Ra amabapo ni upuuzi
 
shukraani mkuu
 
Nani kasema mwezi ni mtakatifu ,ukishindwa kutoa uthibitisho wapi imehubiriwa hii jua Wewe ni kilaza tuu
Labda unadhani kuna wanao tafuta mbadala wa Mungu Jua wa Sunday yule waMisri wa kale wakimwita Ra amabapo ni upuuzi
Naunga mkono hoja ...hakuna mafunzo kwenye uislam yalioupa utukufu mwezi ...mafunzo ya uislam yako perfect sana
 
Iyo safari ya mwezin pia ina utata mwing ikiwemo bendera kuonekana inapepea na huko hamna upepo na mengine kafhaa
yapo mengine mengi yamefichuliwa

Hata kwamba Neil hakuwa wa mwanzo bali warusi ndyo walianza lakini mission ilifeli
 
Unaweza kujua ni Kwanini Mohammed Ali anaonekana kuwa celebrated sana miongoni mwa waislamu ???
wale ni katika watu wachache ambao wanabadilika na kushare visa vyao

Kwa asilimia mia na umaarufu wake lazima watu wamtilie maanani

Rejelea malcom X ...akatoa na Article kabisa baada ya kusilimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…