Mambo tata kuhusu NASA na safari ya mwezini: Ni kweli Neil Armstrong alisilimu baada ya kusikia Adhana mwezini?

Hii movie NASA walicheza sana kuhadaa walimwengu, ila kiukweli hiyo safari ilikuwa "feki" na ya kifikirika
 
Mbona kwny ripoti ya apollo 11 halizungumziwa hili,wee umelitoa wapi?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Danganyaneni hivyo hivyo
 
Duh
 
waislam ni watu wa uvumi ila pia nashangaa wamejitokeza kujibu uvumi kumuhusu kafir ila wapo kimya dhidi ya hv vikundi vya kigaidi , je wao pia ni wafuasi wa hv vikundi vya kigaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…