qarem
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 626
- 825
Hi everyone
Hii ni sehemu ya kuburudika, kujifunza, nk
Bas Leo nimekaa zangu sina hili wala lile nikawa nakumbuka harakati za utotoni nilikumbuka mengi ila lilofanya nicheke nikiwa mwenyewe ni hili.
Kipindi cha nyuma sana vijijini huko ilikua ukitaka kunyoa lazima utumie mkasi/wembe saloon zilikua chache au Hamna kabisa
Hivyo basi ilikua mtu ukishanyolewa zako na mkasi/wembe kulikua na utamaduni wa kufukia nywele, jambo hili kwangu lilikua la ajabu kidogo kwani nilikua nalidadisi sana kwanini tufukie nywele baada ya kuzinyoa?
Basi bwana siku moja baada ya kunyoa ilibidi niende kumuliza bibi maana ndo nilikua naishi nae wazee walikua town huko wanatafuta maisha
Nikamuuliza hivi bibi kwanini watu wakimaliza kunyoa lazima wafukie nywele zao?
Bibi akanijibu [emoji23][emoji23][emoji855] kwakua kwa kipindi hicho nilikua pia sijui dagaa zinatokana na nini na zinatoka wapi hivyo,ilikua rahisi kwake kunidanganya na nilidanganyika,
Akasema ukifukia nywele zinaota dagaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji855] dah bibi (RIP huko uliko [emoji22]) basi bwana kidume nikawa nishaelewa kwanini lazima tufukie nywele,
Ikawa ndio tabia nikitoka tu kunyoa naokota nywele zangu naenda kuzitengenezea tuta mfano wa bustani hivyiii, nawekea majani juu yale yaliokauka ili mbegu zisipate direct sun light [emoji23][emoji23][emoji23],
Kila asubuhi na jioni nilikua naenda kumwagilia nywele zangu dah [emoji855][emoji23]..na kukagua kama zimeota ila holaaaaaa,
Kadri siku zilivyoenda ndio nikajua nimedanganywa [emoji22]
LINGINE
Jambo lingine ambalo nilikua nadanganywa na nilidanganyika ni kipindi mdogo wangu wa mwisho anazaliwa,
Hivyo nilipomuona mama na mtoto nilimuuliza umemtoa wapiii akasema katoka kumnunua dah niliamini watoto wananunuliwa hospital [emoji855]
ANOTHER ONE
Halafu nimekumbuka jambo lingine nakumbuka kipindi hicho mvua ikinyesha na ngurumo basi nilikua nikiamini kuwa huko mbinguni kuna mapipa ya maji hivyo zile ngurumo za radii mvua inapokaribia kukata ni kama mungu anakombeleza mabaki ya maji katika pipa la majii,[emoji44][emoji44]
Karibu wana JF Tutoe stress kwa kukumbuka moments za utotoni
NB;kama kuna uzi mwingine kama huu humu ndani mods waunganishe,mana kujua ni ngumu zipo threads nyingi mno!
Welcamuni [emoji58]
Hii ni sehemu ya kuburudika, kujifunza, nk
Bas Leo nimekaa zangu sina hili wala lile nikawa nakumbuka harakati za utotoni nilikumbuka mengi ila lilofanya nicheke nikiwa mwenyewe ni hili.
Kipindi cha nyuma sana vijijini huko ilikua ukitaka kunyoa lazima utumie mkasi/wembe saloon zilikua chache au Hamna kabisa
Hivyo basi ilikua mtu ukishanyolewa zako na mkasi/wembe kulikua na utamaduni wa kufukia nywele, jambo hili kwangu lilikua la ajabu kidogo kwani nilikua nalidadisi sana kwanini tufukie nywele baada ya kuzinyoa?
Basi bwana siku moja baada ya kunyoa ilibidi niende kumuliza bibi maana ndo nilikua naishi nae wazee walikua town huko wanatafuta maisha
Nikamuuliza hivi bibi kwanini watu wakimaliza kunyoa lazima wafukie nywele zao?
Bibi akanijibu [emoji23][emoji23][emoji855] kwakua kwa kipindi hicho nilikua pia sijui dagaa zinatokana na nini na zinatoka wapi hivyo,ilikua rahisi kwake kunidanganya na nilidanganyika,
Akasema ukifukia nywele zinaota dagaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji855] dah bibi (RIP huko uliko [emoji22]) basi bwana kidume nikawa nishaelewa kwanini lazima tufukie nywele,
Ikawa ndio tabia nikitoka tu kunyoa naokota nywele zangu naenda kuzitengenezea tuta mfano wa bustani hivyiii, nawekea majani juu yale yaliokauka ili mbegu zisipate direct sun light [emoji23][emoji23][emoji23],
Kila asubuhi na jioni nilikua naenda kumwagilia nywele zangu dah [emoji855][emoji23]..na kukagua kama zimeota ila holaaaaaa,
Kadri siku zilivyoenda ndio nikajua nimedanganywa [emoji22]
LINGINE
Jambo lingine ambalo nilikua nadanganywa na nilidanganyika ni kipindi mdogo wangu wa mwisho anazaliwa,
Hivyo nilipomuona mama na mtoto nilimuuliza umemtoa wapiii akasema katoka kumnunua dah niliamini watoto wananunuliwa hospital [emoji855]
ANOTHER ONE
Halafu nimekumbuka jambo lingine nakumbuka kipindi hicho mvua ikinyesha na ngurumo basi nilikua nikiamini kuwa huko mbinguni kuna mapipa ya maji hivyo zile ngurumo za radii mvua inapokaribia kukata ni kama mungu anakombeleza mabaki ya maji katika pipa la majii,[emoji44][emoji44]
Karibu wana JF Tutoe stress kwa kukumbuka moments za utotoni
NB;kama kuna uzi mwingine kama huu humu ndani mods waunganishe,mana kujua ni ngumu zipo threads nyingi mno!
Welcamuni [emoji58]