GokuOne
Senior Member
- Jan 19, 2022
- 196
- 263
Habarini wanaJF, niende moja kwa moja kwenye hoja:
1. Ya zamani uliyofanya yasiathiri leo yako.
2. Mawazo/mitazamo ya watu wengine yasiingilie utendaje wako kimaisha.
3. Kutopata unachotaka inaweza kuwa ni sehemu ya baraka (huwezi jua kwa kukosa kwako umeepushwa na mabaya gani)
4. Usijilinganishe na wengine na pia usiwahukumu. Hujui yaliyomo kwenye safari yao ya maisha.
5. Jiachie mara moja moja, kuwa na furaha.
6. Tabasamu. Wewe si mmiliki wa matatizo yote ya dunia.
(Yakikukuta just smile)
7. Muda hutibu majeraha yote. Jipe muda...
8. Kujipenda wewe binafsi ni ukarimu mkubwa unaoweza kujitendea.
Nawakilisha
1. Ya zamani uliyofanya yasiathiri leo yako.
2. Mawazo/mitazamo ya watu wengine yasiingilie utendaje wako kimaisha.
3. Kutopata unachotaka inaweza kuwa ni sehemu ya baraka (huwezi jua kwa kukosa kwako umeepushwa na mabaya gani)
4. Usijilinganishe na wengine na pia usiwahukumu. Hujui yaliyomo kwenye safari yao ya maisha.
5. Jiachie mara moja moja, kuwa na furaha.
6. Tabasamu. Wewe si mmiliki wa matatizo yote ya dunia.
(Yakikukuta just smile)
7. Muda hutibu majeraha yote. Jipe muda...
8. Kujipenda wewe binafsi ni ukarimu mkubwa unaoweza kujitendea.
Nawakilisha