Mambo unayotakiwa kufanya kabla, wakati na baada ya kufanya mapenzi

Kanda ya pwani wanapenda ngono jamani yani wao hata walale njaa asubuhi lazima aamkie papuchi kwa kuichakata au kwa kuiwaza yani mungu awasaidie...🙏
 
Asante mwalimu
 
Infact, wanaume wengi wanapenda ngono....ulipaswa kuuliza, kati ya mwenye pesa na asiye na pesa, nani mwenye easy access ya ngono..
Hili suala ni hobby ya mtu Wala Haina cha maskini Wala tajiri.
 
Kanda ya pwani wanapenda ngono jamani yani wao hata walale njaa asubuhi lazima aamkie papuchi kwa kuichakata au kwa kuiwaza yani mungu awasaidie...[emoji120]
Hii ni hasara kwa afya pia huchangia uvivu mwili hauwezi kuwa na nguvu
 
Mi umenikosha pale uliposema mkimaliza mkaoge sijui usafi..ili kuondoa mikosi..like really. Ingekua mikosi inaondoka ukishaoga hamna mtu angekua maskin. Mikosi haiondoki kwa maji...inaondoka kwa toba ya kugeuka..sio toba ya leo afu kesho au baadae unajijua utapanga miadi na Fetty kitovu kitamu..!!
 
Hili suala ni hobby ya mtu Wala Haina cha maskini Wala tajiri.
It's a fact, lakini mwanzisha uzi, alikuwa anamaanisha watu wote wanaopenda na kuendekeza ngono huwa masikini, waliofanikiwa wamepiga hatua kwa sababu ya kutojali ngono....that's was their (Don't know the gender) main point.
 
Kanda ya pwani wanapenda ngono jamani yani wao hata walale njaa asubuhi lazima aamkie papuchi kwa kuichakata au kwa kuiwaza yani mungu awasaidie...[emoji120]
Research hii umeifanyia wapi kiongozi? sample unit ni kina nani? sample size ipi? na methodology gani gani kiongozi?Kama hauna, Kuna studies zozote umeziona? kama umeziona,weka tuzisome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…