Mambo unayoweza kuyafanya kwa fedha kiasi cha Laki tano

Technics+Timing+Luck=

Luck depends good or bad!

Ila shamba ni Risk sana..
Viwanda vya kusindika inawezekana.Ila nina doubt kwanini bidhaa za ndani zina bei kuliko za nje?
 
Masanja uliyemtuma amepingwa!! Tunakiomba uje mwenyewe, ukishatujibu maswali yetu tutaongozana.
 
Kwahyo tusilime?

 
Tatizo ni elimu tuliyopewa darasani ndio inaharibu watu wengi wasiwe matajiri, tumekaririshwa 1+1=2 kumbe hali halisi 1+1=11 maisha ukiyaelewa ndani ya mda mfupi utakuwa billionea mpaka utaitwa Freemason au muuza ngada.
 
Tatizo ni elimu tuliyopewa darasani ndio inaharibu watu wengi wasiwe matajiri, tumekaririshwa 1+1=2 kumbe hali halisi 1+1=11 maisha ukiyaelewa ndani ya mda mfupi utakuwa billionea mpaka utaitwa Freemason au muuza ngada.
Sikatai ni kweli biashara ukiipatishia muda mfupi tu unakuwa tajiri sana lakini sio kwa mtaji huo wa laki tano!!labda kama kwa biashara haramu!!lakni biashara halali ni kiwango kidogo sana
 
Leo nikucheka uku tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii hamna hii labda sio huku home ndo moja ni 100/=, sasa hiyo 500/= uta muuzia nani?
 
Ila inabidi tukubaliane kwamba sio kila mtu atatoka na kilimo wengine teknolojia etc
 
Mimi nina 800,000 nataka nikanunue XBOX One S..Digital Edition
 
Mkuu, ebu funguka kidogo hasa hapo kwenye umaluziaji pamepatia mashaka kana kwamba kuna lilio jificha kwa nyuma ya neno kilimo
Watanzania ndio utamaduni wetu watu wasio na kazi rasmi kusingizia kilimo na wenye pesa nyingi ambazo zimepatikana kwa utata pia hukimbilia kwenye kilimo Kama sehemu ya kujifichia.
Ingekuwa kilimo kinatajirisha kirahisi hivyo watu wanaoishi mashambani wasingekuwa wanavaa kandambili mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikatai ni kweli biashara ukiipatishia muda mfupi tu unakuwa tajiri sana lakini sio kwa mtaji huo wa laki tano!!labda kama kwa biashara haramu!!lakni biashara halali ni kiwango kidogo sana
Laki tano ni lugha ya picha tu ujumbe ndio muhimu kwamba angalia jinsi unavyo zitumia pesa zako, je unazalisha au hauzalishi?
 
Hamasa nzuri inayohitaji kujipambanua na kupiga hesabu uone lipi linafaa sii kuingia kichwa kichwa tu ukajikuta unaishia kukimbia watu kitaani kwako au kuwehuka kabsa

Samsung
 
Kweli aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…