Mambo usiyoyajua kuhusu ulimwengu wa kiroho

Mambo usiyoyajua kuhusu ulimwengu wa kiroho

Joined
Dec 16, 2022
Posts
49
Reaction score
37
Nina ushahidi tosha juu ya ulimwengu wa kiroho sana ila sasa ningependa kukushirikisha juu ya watoto wa kiroho na jinsi wanavyopatikana .

Mara nyingi wanapatikana katika ndoto pale unapoota unazini au unafanya mapenzi huwa no kweli katika ulimwengu wa kiroho na unapata watoto kabisa niamini ndugu ndio maana tunapaswa kukemea sana ndoto chafu zote kwa sababu watoto wale wanakuwa na unakuwa umewatelekeza.

Nikaribishe swali
 
Hivi mapepo/majini wameumbwa tofauti kabisa na Sisi,wao asili Yao Moto nasi udongo

Hiyo combinationa inakuwaje mpaka apatikane mtoto
 
Ni kweli kka ila ila wanakuwa wakiroho .ndio maana kuna wanawake anaota ananyonyesha wale wanakuwa watoto wa kiroho.na mimba yao nibebwa dakika 70 kwa watoto 18
 
Ila mkuu naona tungepata faida Kama ungeshusha Uzi kabisa juu ya hili
 
Nina ushahidi tosha juu ya ulimwengu wa kiroho sana ila sasa ningependa kukushirikisha juu ya watoto wa kiroho na jinsi wanavyopatikana .

Mara nyingi wanapatikana katika ndoto pale unapoota unazini au unafanya mapenzi huwa no kweli katika ulimwengu wa kiroho na unapata watoto kabisa niamini ndugu ndio maana tunapaswa kukemea sana ndoto chafu zote kwa sababu watoto wale wanakuwa na unakuwa umewatelekeza.

Nikaribishe swali
Kumbe kuna majini single mothers na hatuambiani ?
 
Juzik kati hapo nilikul matikit maji kwa ujazo wa kunitosha.
Usiku wake nime mwaga kichupa mara 3 na nilijua kuwa hiyo hali inaweza itatokea ila ni kuwapa support wageni walio kuwepo kwa siku hiyo.

Nakuja katika swala lako la kiroho na wet dream ( ndoto nyevu) hapo unasemaje hapo kuhusu uhusiano wake.
 
Ila mkuu naona tungepata faida Kama ungeshusha Uzi kabisa juu ya hili
Ni sawa hiyo ni in briefly .pia hawapi watoto wanaweza kufa ukiwaombea kwa sababu hawa mda mrefu duniani wanaweza kaa miaka ata 10 tu.
Ila watoto wa kiroho wana some biological effect kwa
Juzik kati hapo nilikul matikit maji kwa ujazo wa kunitosha.
Usiku wake nime mwaga kichupa mara 3 na nilijua kuwa hiyo hali inaweza itatokea ila ni kuwapa support wageni walio kuwepo kwa siku hiyo.

Nakuja katika swala lako la kiroho na wet dream ( ndoto nyevu) hapo unasemaje hapo kuhusu uhusiano wake.
Asante wet dream ni biological sy
 
Asante wet dream ni biological signs za puberty lakini haimanishi ni kuzini .no Bali ni kumwaga mbegu ila kama ni mapenzi unafanya na mapepo (wanawake wa kiroho na wanaume).
Ndio maana ndoto mbaya ni pamoja na uzinzi kwa ajili unajichafua kiroho ukuwa na watoto wengi.ndio maana ni dhambi kama uzinzi huu wa kawaida
 
Asante wet dream ni biological signs za puberty lakini haimanishi ni kuzini .no Bali ni kumwaga mbegu ila kama ni mapenzi unafanya na mapepo (wanawake wa kiroho na wanaume).
Ndio maana ndoto mbaya ni pamoja na uzinzi kwa ajili unajichafua kiroho ukuwa na watoto wengi.ndio maana ni dhambi kama uzinzi huu wa kawaida
Dah hatar tunaepukaje ndoto pevu.
 
Ndoto pevu si mbaya ila kufanya mapenzi ndio jambo baya .tutaswali na kusali sana ndio njia ya kujiepusha .
Usije ktka maisha yako kukafurahia mapenzi ndotoni ni kuzini (ushetani).
Nitakupa siri kwanin??
Acha kulala uchi?,kujiangaalia sana kwenye kioo,usiimbe nyimbo za kishetani(bongo fleva)popote pale
 
Haya mapepo Mara nyingi wanakaa chumbani na yanapenda sana kioo .
Ukijiangalia kwenye kioo yanakuona Mara 10 uzurr ulionayo
 
Wacha janja janja.

Ulimwengu wa roho hakuna wakuingia kimzaha hivyo.

Ndoto na maono unayopata yote hufanyika ktk ulimwengu wa nafsi na sio Roho.
Rohoni kulishafungwa na Muumba baada ya adamu kuanguka dhambini, hivyo upeo wa maono ya kiroho kwa mwanadamu haupo tena isipokuwa kinafsi na kimwili tu.

Note: Hao mnaoita mashetan&mapepo ni roho zinazodeal na nafsi zenu na sio Roho, Roho sikuzote ni innocent/hainahatia ndiomaana ukifa inarudi kwa Muumba na nafsi kulala mautini(kuzimu) mpaka ufufuko wa adhabu na hukumu na kikawaida baada ya Uumbaji wa Muumba hakuna uumbaji mwingine unaoweza kufanyika ukihusisha Roho ya mtu ama nafsi kwa ushirikiano na Roho ya kiumbe tofauti na mwanadamu pasipo kuhusika kwa Nguvu za Muumba ama amri yake,

Unapoota ama kufanya zinaa usiku haiwezi kuathiri hali ya roho uliyoshiriki nayo kupata mtoto, huwezi kupata mtoto kwa njia ya zinaa za kiroho ama kinafsi, hiyo haiwezekana na haitokuja kuwezekana, acheni kupotosha jamii.

Mkija na stori zenu muwe mnaweka na ushahidi, ingekuwa roho inauwezo wa kuipa mimba roho nyingine waingilianapo kiroho basi wachawi wangeshawapa mimba watu wengi na kuwazalisha watoto wasio julikana wamepatikanaje, pia wachawi wa kike wangebeba mimba nyingi,

Pia unatakiwa ujuwe, baada ya Uumbaji wa Muumba na kufungwa na uwepo wa muingiliano wa uzao kati mapepo na binadamu(nephilims period) basi hakuna uwezekano tena wa kiumbe yeyote wa kiroho kuongezeka dunian, mashetani na mapepo waliopo leo ni wale wale waliokuwepo kipindi cha akina Nuhu,

Asikudanganye mtu kuwa ana mimba ya kijini ama ana watoto wa kijini, huo ni uongo na upotoshaji, maana roho kwa roho haziwezi sababisha uumbwaji wa roho mpya, pia pepo hawez beba ujauzito sabbu ya muingiliano na roho ya binadamu, ingewezekana kama mapepo wangekuwa na miili ya kibinadamu TU,

Wengi mnaoletaga stori za hivi ni kwamba mmepagawa na uongo wa ushawishi wa hizo stori zenu za kijinga, mikosi na mabalaa yanaweza kukukumba ukishiriki na roho chafu lkn sio kusababisha Uzao wa roho mpya, hata wao pepo kwa pepo hawana uwezo wa kuleta uzao wao mpya, maana Nguvu hizo zilishafungwa, ingekuwa easy hivyo basi majeshi ya mapepo yangeshaumaliza uzao wa watu dunian maana wangekuwa wengi kiidadi.

Pepo, shetan, hawezi kufa mpaka kihama, wala hawez kuonekana isipokuwa kiroho ama kinafsi tu, na hawezi kukupa mimba ama yeye kupata mimba, acheni uzushi.
 
Hivi mapepo/majini wameumbwa tofauti kabisa na Sisi,wao asili Yao Moto nasi udongo

Hiyo combinationa inakuwaje mpaka apatikane mtoto
Mapepo na majini ni uzao wa kundi la malaika wa shetan waliofukuzwa mbinguni, hawa mapepo walizaliwa hapa hapa duniani kipindi kile cha akina Nuhu, kupitia lile kundi la shetan na malauka wenzake waovu walipo watamani wanawake wa kibinadamu na kuzaa nao matokeo yake kukaibuka uzao wa machotara(nephilims), na haya machotara Yaliondoshwa kipindi cha Nuhu kimwili lkn Roho zao ndizo zinaexist today maana Roho haiwezi kufa mpaka kihama, na mashetani ni viumbe tofaut na mapepo maana hawa ndio baba wa mapepo yaani ni wale malaika waliofukuwa mbinguni ama tuwaite wazazi wa mapepo, na hawa mashetani kimsingi hawadeal sana na maisha yetu bali tunadeal na vitoto vyao ambavyo tunaita mapepo vinavyosumbua jamii,

kwa weakness zetu za dhambi bado hakuna dunian mwenye uwezo wa kupambana na mashetani isipokuwa Muumba mwenyewe bali sisi tunapambana na vipepo, hata hao wachungaji wenu wa uongo huko makanisani hawawezi kuwaambia ukweli kuwa huyo mnaesema shetan mnapambana nae, sio yeye bali vijukuu vyake vipepo ndivyo kaviachia vitushughulikie, yeye shetan kazi yake ni kutoa Order tu na kusubili siku ya mwisho aje apewe mamlaka kamili ili ajifunue na kuitawala dunia Kiuwazi maana kisiri ameshaitawala dunia kupitia mafundisho ya uongo yenye alama ya666.

Fuatilia nilichokureply hutojutia, achana na stori za wababaishaji, ukiujua ukweli nakuapia hawa viumbe hawatokutesa maana ushapata siri zao.
 
Back
Top Bottom