Gobolee hahahah sipati picha kelele za wanafunziMimi nilipokuwa darasa la 3 nilikwenda shuleni na ulanzi au ulasi watu wa iringa mnaujua nilipokamatwa nao niliadhibiwa waliponiacha nikakimbilia nyumbani ile kurudi na gobore la babu begani mbona shule ilifungwa kwa muda hapa ni ukweli mtupu sitanii nilimsababishia babu matatizo makubwa sana japo alikuwa colonel mstaafu ila alisumbuka sana
Mlipinda si kidogo saiv mtt akifanya ujinga anachezea stik si kidogoMachimbo wenzangu tupo wale wa kutoingia class na kujisahihishia na peni nyekundu.Tulikuwa tunakutuna kwa bikob*ro mtaalam wa kupika mihogo hapo ndio machimbo(majonzi) hatukosekani kizinga Primary Xul
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu uliweka kulibeba gobole kweliMimi nilipokuwa darasa la 3 nilikwenda shuleni na ulanzi au ulasi watu wa iringa mnaujua nilipokamatwa nao niliadhibiwa waliponiacha nikakimbilia nyumbani ile kurudi na gobore la babu begani mbona shule ilifungwa kwa muda hapa ni ukweli mtupu sitanii nilimsababishia babu matatizo makubwa sana japo alikuwa colonel mstaafu ila alisumbuka sana
Kuwategeshea penseli makalion watu ile time wanakaa daah! Kuna day nilimtegeshea mtoto wa mwl niligongwa vitasa sita sahau....Hata moja tushirikishe
Mkuu yani wee acha tu nilifanya ujinga hadi leo nikikumbuka najutaGobolee hahahah sipati picha kelele za wanafunzi
Mkuu darasa la 3 ya zamani kidogo kiumri tulikuwa wakubwa kama ndoo ya ulanzi Lita 20 inakaa kichwani ije kuwa gobole[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu uliweka kulibeba gobole kweli
Alikuwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]faken kabisa ww umeanza utundu zamani
[emoji23] [emoji23] chaboNilikuwa bingwa wa kutembea na KIOO, hakika nilifanikiwa sana na ile mission....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatar 2puKuna dem wa darasa la sita aliniandikia barua ya mapenzi mm nikiwa darasa la 4, nkaipeleka kwa mwalimu mkuu....yule dem alichapwa mbele ya shule nzma....mpaka leo nikikumbukaga hili tukio najiona udomo zege nilizaliwa nao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]