OCCID Dominik
JF-Expert Member
- Apr 29, 2024
- 218
- 395
Wakuu nadhani huyu mwamba kitu kama msouth ama Zimbabwe kwa lafudhi anatrend sana kwa clips zake huko mitandaoni nadhani ni gym trainer, kwa mwenye details zake amwage hapaa nina wasiwasi naee ama ndo gym side effects????
Jamaa kapiga tizi la kupunguza mafuta bythen kajaa shepu ya nyuma AKA figaaa mi sijaelewa kama ni plans zake ama ndo kisichotegemewa. Halafu anaonekana yupo happy na hayo maumbile yake,details basiiiii
Jamaa kapiga tizi la kupunguza mafuta bythen kajaa shepu ya nyuma AKA figaaa mi sijaelewa kama ni plans zake ama ndo kisichotegemewa. Halafu anaonekana yupo happy na hayo maumbile yake,details basiiiii