OCCID Dominik
JF-Expert Member
- Apr 29, 2024
- 218
- 395
Mnatumia sample ya watu wachache sana kuchafua taswira nzima ya gmna
Bora nibali mbavu mbili hv hvMnatumia sample ya watu wachache sana kuchafua taswira nzima ya gym
Dah sio poa jamanSa mtu 24/7 anapiga squat unategemea asijae kalio 😌
Vp kuna uzi wake? Niwekee hapaBado mnadeal na huyu jamaa? Old news
nijue kama yaliyomo yako😂😂Sasa details zake unazitaka za nini? Acha umende kijana.
Wakuu nadhani huyu mwamba kitu kama msouth ama Zimbabwe kwa lafudhi anatrend sana kwa clips zake huko mitandaoni nadhani ni gym trainer, kwa mwenye details zake amwage hapaa nina wasiwasi naee ama ndo gym side effects????
Jamaa kapiga tizi la kupunguza mafuta bythen kajaa shepu ya nyuma AKA figaaa mi sijaelewa kama ni plans zake ama ndo kisichotegemewa. Halafu anaonekana yupo happy na hayo maumbile yake,details basiiiii
View attachment 3001383View attachment 3001384