Mambo ya hovyo, na ya kusikitisha yanayotokea kwenye Teens Party


Yaaah naelewa lakini siongelei ule mchupa mkubwa wa codeine kuna kale kadogo mzee usiongelee ile michupa kama ya wayne , kuna kale kadogo ivi ukiweka robo au nusu haina noma unasiz kidizain tu aisee ila maisha haya daaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sana ahahahahaha hahahahaha ahahahah daaah noma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nadhani kwa Tanzania Cough syrup zenye codein zimepigwa ban pia, lean is somethibg else inakufanya unakuwa zombie

Ivi wamepiga ban na huku ? itakuwa msg wamekatazwa kuzileta, nakumbuka kuna hadi kile kiwanda cha hizo dawa kule South America walistopishaga production sababu watu walikuwa wanaitumia abusively...Mzee ile kitu ni noma, unasizi yan unakuwa upo kama haupo mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Top in DSM yupo JF mkuu, umeuza ramani ya vita
 
Pale member mkongwe kuliko mimi (2016) halafu ndo ametoka Form Six Bootcamp Juzi![emoji848]
 
Kuna kabinti ka miaka 13/14 ilikuwa wanaume wanamlipa 200 ili wamshike shike maziwa.
Hawa watoto Mungu tu atusaidie.
 
Mikadi ni beach ya watoto wa uswazi..
Mainly wanatoka Mbagala

Wengi hata shule sijui kama wanasoma..
Wanaendaga na mabasi na makelele
Na bodaboda wamepanda watu sita..
Wengi hufa barabarani pia
Aisee ndio umenifumbua macho, was there one day nikawa sielewi elewi nikahisi labda ni ushamba wangu tu[emoji2297][emoji2297]
 
Ndio zimekatazwa kabisa, dawa zanye codeine zipo za vidonge tuu...lean hatari sana ni sema bongo hawakuifahamu vizuri mwanzoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…