Mambo ya 'katiba mpya' yameishia wapi?

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,420
mbona kelele zilikuwa nyingi sana kuhusu mambo ya katiba mpya?mbona mambo yamekuwa kimya ghafla?au ilishatengenezwa?
 
ile single ilishachuja,si unajua tena bongo kwa kutoa single. sasa hv magamba ndo inaheat!
 
Hi ndo tz bana babu loliondo alisaidia sana now magamba na ccj ya nape hii nchi ni kufikirika kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…