Mambo ya kikuku kinaashiria nini??

inategemea na mguu mkuu,
kila mguu na maana yake
 
Kwa zamani ilikuwa inategemea ipo mguu gani .....na mostly hiyo illikuwa zamani siku hizi ni urembo zaidi....Hence usiende huko kwenye kwenye dunia ya leo ukamvaa binti na wazo hilo la tigo etc....
 
Kwa wenye uzoefu p'se natamani kujua hasa kunani pale?
 
2 in 1 wakuu maana yake :nono:
Conquest-asali ailambwi mara moja.
 
.........wanaseme eti TIGO ruksa.

hakuna kitu kama hicho huu ni urembo tu na kama ukifuatilia mila na tamaduni mbalimbali wanavaa ni design tu zimepishana na ni urembo zaidi lakini miaka ya kati hapo wajuaji wa tanzania wakaanza kumaanisha hivyo sisi ni maarufu wa kuharibu asili ya vitu.na kwanini watu wengi wamejawa na fikra za kizinzi tu muda wote>?kwanini usifikirie labda hii ni mila ya kabila gani au originality?i hope mtoa thread hakumaanisha huku watu wanakojibu:A S angry:
 

Lisemwalo lipo ................... ??????
Pole kwa usumbufu bibie.....
 
teh teh teh, ni urembo kama bangili, chain nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…