Lugano Edom
Senior Member
- Dec 2, 2021
- 122
- 186
Popote pale uionapo mada inayowahusu watu wa Mungu usitumie akili yako bali tumia akili itokanayo na Mungu.
Tumekuwa wakurupukiaji wa mada sana hasa kuzogoa na kuwasema vibaya watu wafanyayo kazi ya Mungu.
Ushauri wangu kwetu sote. Jambo la KIMUNGU HUTATULIWA KIMUNGU.
ASANTE KAMA UMENIELEWA. niliyekuchanganya pole ikufikie
Tumekuwa wakurupukiaji wa mada sana hasa kuzogoa na kuwasema vibaya watu wafanyayo kazi ya Mungu.
Ushauri wangu kwetu sote. Jambo la KIMUNGU HUTATULIWA KIMUNGU.
ASANTE KAMA UMENIELEWA. niliyekuchanganya pole ikufikie