Mambo ya kiroho!! Roho ni nini?

Mambo ya kiroho!! Roho ni nini?

Roho ni uzima ulio nao ambao hauonekani, ukifa hiyo roho inaenda kuungana na roho nyingine katika ulimwengu wa roho. Wanaosema wanaona ni uwongo labda ndoto tu. Kuona inabidi ufe, nani atakubali kufa?
Kama ni kitu kisichoonekana na kinafanya kazi kwenye ulimwengu huu (physical universe) basi ni lazima kina maelezo. Hata upepo hauonekani lakini properties zake zinapimika and they are detectable!!
 
Wahubiri wa imani ya Kikristo, ni muhimu kutoa maelezo fasaha mnapozungumzia masuala ya ulimwengu wa roho. Mara nyingi, unamsikia mhubiri akisema, "Naona katika ulimwengu wa roho..." lakini ni vema tukajiuliza, roho ni nini? Je, ninyi pia mmekaririshwa tu kwamba roho siyo kitu chenye asili ya kimaada?

Mnasema ni kitu kisichoonekana, lakini wakati huo huo mnahubiri kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani ya mtu, au kwamba ndani ya mtu kuna roho. Pia mnasema kuwa mambo ya kiroho ni mambo ambayo akili ya binadamu haiwezi kuyaelewa.

Kauli kama hizi zinaweza kuonekana kama njia ya kujificha ili kufanikisha ajenda za siri. Ikiwa huwezi kufafanua roho ni nini, ni vyema usihubiri jambo ambalo huwezi kulielezea kwa ufasaha. Inakuwa ni kama kuongoza watu kwenye barabara ya giza.

Acheni kuidhalilisha imani. Yesu ni mwanga, siyo giza.
Wakristo hawana elimu ya roho. hata che,mbe, wana uchqawi tu.

Ukitaka kuijuwa elimu ya roho kiukweli waulize Waislam wenye elimu ya Uislam.
 
Wakristo hawana elimu ya roho. hata che,mbe, wana uchqawi tu.

Ukitaka kuijuwa elimu ya roho kiukweli waulize Waislam wenye elimu ya Uislam.
Ndio humo yanaingia matapeli na kupiga pesa. Eti mambo ya kiroho. Pambaf na nusu.
 
Wahubiri wa imani ya Kikristo, ni muhimu kutoa maelezo fasaha mnapozungumzia masuala ya ulimwengu wa roho. Mara nyingi, unamsikia mhubiri akisema, "Naona katika ulimwengu wa roho..." lakini ni vema tukajiuliza, roho ni nini? Je, ninyi pia mmekaririshwa tu kwamba roho siyo kitu chenye asili ya kimaada?

Mnasema ni kitu kisichoonekana, lakini wakati huo huo mnahubiri kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani ya mtu, au kwamba ndani ya mtu kuna roho. Pia mnasema kuwa mambo ya kiroho ni mambo ambayo akili ya binadamu haiwezi kuyaelewa.

Kauli kama hizi zinaweza kuonekana kama njia ya kujificha ili kufanikisha ajenda za siri. Ikiwa huwezi kufafanua roho ni nini, ni vyema usihubiri jambo ambalo huwezi kulielezea kwa ufasaha. Inakuwa ni kama kuongoza watu kwenye barabara ya giza.

Acheni kuidhalilisha imani. Yesu ni mwanga, siyo giza.
Roho ni chaka la kuungaunga la kufichia uongo.

Hakuna roho.
 
Roho ni chaka la kuungaunga la kufichia uongo.

Hakuna roho.
Nadhani labda inaweza kuelezeka katika anga za quantum physics kama wengine walivyojaribu kuelezea Yesu kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa milango kuwa ni mfano wa quantum tunnelling. Au kitu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja kama ni quantum superposition? Hawa wahubiri hawana majibu!
 
Back
Top Bottom