stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
kitu chochote kisicho na simple explanation ni uwongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kitu kisichoonekana na kinafanya kazi kwenye ulimwengu huu (physical universe) basi ni lazima kina maelezo. Hata upepo hauonekani lakini properties zake zinapimika and they are detectable!!Roho ni uzima ulio nao ambao hauonekani, ukifa hiyo roho inaenda kuungana na roho nyingine katika ulimwengu wa roho. Wanaosema wanaona ni uwongo labda ndoto tu. Kuona inabidi ufe, nani atakubali kufa?
Huko ni kukosa hoja. Yaani mpaka mtu afe ndio ajue roho nini??!!Mtoa mada ukikata Roho utajua Roho ni Nini na maombi ya kiroho yapoje
rohoni ndiyo wapi? bla bla tu hakuna jibu loloteNi mpaka uwe rohoni ndio utaelewa😆😆😆
Wakristo hawana elimu ya roho. hata che,mbe, wana uchqawi tu.Wahubiri wa imani ya Kikristo, ni muhimu kutoa maelezo fasaha mnapozungumzia masuala ya ulimwengu wa roho. Mara nyingi, unamsikia mhubiri akisema, "Naona katika ulimwengu wa roho..." lakini ni vema tukajiuliza, roho ni nini? Je, ninyi pia mmekaririshwa tu kwamba roho siyo kitu chenye asili ya kimaada?
Mnasema ni kitu kisichoonekana, lakini wakati huo huo mnahubiri kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani ya mtu, au kwamba ndani ya mtu kuna roho. Pia mnasema kuwa mambo ya kiroho ni mambo ambayo akili ya binadamu haiwezi kuyaelewa.
Kauli kama hizi zinaweza kuonekana kama njia ya kujificha ili kufanikisha ajenda za siri. Ikiwa huwezi kufafanua roho ni nini, ni vyema usihubiri jambo ambalo huwezi kulielezea kwa ufasaha. Inakuwa ni kama kuongoza watu kwenye barabara ya giza.
Acheni kuidhalilisha imani. Yesu ni mwanga, siyo giza.
Ndio humo yanaingia matapeli na kupiga pesa. Eti mambo ya kiroho. Pambaf na nusu.Wakristo hawana elimu ya roho. hata che,mbe, wana uchqawi tu.
Ukitaka kuijuwa elimu ya roho kiukweli waulize Waislam wenye elimu ya Uislam.
Roho ni chaka la kuungaunga la kufichia uongo.Wahubiri wa imani ya Kikristo, ni muhimu kutoa maelezo fasaha mnapozungumzia masuala ya ulimwengu wa roho. Mara nyingi, unamsikia mhubiri akisema, "Naona katika ulimwengu wa roho..." lakini ni vema tukajiuliza, roho ni nini? Je, ninyi pia mmekaririshwa tu kwamba roho siyo kitu chenye asili ya kimaada?
Mnasema ni kitu kisichoonekana, lakini wakati huo huo mnahubiri kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani ya mtu, au kwamba ndani ya mtu kuna roho. Pia mnasema kuwa mambo ya kiroho ni mambo ambayo akili ya binadamu haiwezi kuyaelewa.
Kauli kama hizi zinaweza kuonekana kama njia ya kujificha ili kufanikisha ajenda za siri. Ikiwa huwezi kufafanua roho ni nini, ni vyema usihubiri jambo ambalo huwezi kulielezea kwa ufasaha. Inakuwa ni kama kuongoza watu kwenye barabara ya giza.
Acheni kuidhalilisha imani. Yesu ni mwanga, siyo giza.
Nadhani labda inaweza kuelezeka katika anga za quantum physics kama wengine walivyojaribu kuelezea Yesu kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa milango kuwa ni mfano wa quantum tunnelling. Au kitu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja kama ni quantum superposition? Hawa wahubiri hawana majibu!Roho ni chaka la kuungaunga la kufichia uongo.
Hakuna roho.